ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,692
Hii sasa kali , anadai wapo wakulima wengi fake, mtu anajiita mkulima wakati hana shamba wala eneo la kulima, amewataka wajumbe wa serikali za vijiji kupita asubuhi na kuwakamata watu ambao asubuhi hawaendi shambani wakati sio watumishi wa umma, amesema mtumishi asubuhi anakwenda kazini wewe mkulima unakaa nyumbani unafanya nini.