Day 1 !!! Uhamiaji

In this week mambo yanaweza kuwa hadharani..Abdu Wakili kwa wale wasiomjua ni mzee wa hekima na busara na anayependa kunyoosha mambo..lakini kumbukeni bajeti ilishapita ya serikali kwaiyo cdhani kama suala la kurudia usaili lipo mana hilo fungu sijui litatoka wapi..mwaka jana wizara iliomba fedha za kuendesha mchakato wa kuajiri vijana 270 na fungu likaja la bajeti ya 2013/2014..sasa bajeti ya juzi ni ya vijana 270 wakiwa mafunzo kwa takribani miezi 9 hadi 10..sasa ukianza mchakato wa usaili upya na kuanza kuunda kamati na kulipia ukumbi kama kule baraza kuu la maaskofu ni pesa ya serikali ambayo haikuwepo kwenye bajeti..kwa fikra zangu ni kuwa kama kuna watu walipendelewa hapo watolewe then nafasi hizo ziachwe wazi waje wazitangaze ajira mpya mwakani then wale walionesha kuwa walipita kwa sifa stahiki na walikuwa na vigezo vyote wapewe haki yao..unapozungumzia haki itendeke ni pamoja na kutoa waliopendelewa na kuacha waliopita kwa haki..sheria ni msumeno.
 
Waite wakalishe chini halafu watoe hofu kwanza..waambie wasiogope mana wao hawapo..waulize kwa utaratibu kabisa nini kilitokea..Ndugu zangu tusubiri taarifa ya uchunguzi wa kamati..kumbuka kamati ina wajumbe wa 5 na imepewa siku 10 kukamilisha report hiyo..na kwa mujibu wa Nantanga kamati imepewa hadidu za rejea kuhusu uchunguzi huo..1.wachunguze uhusiano wa majina ya washukiwa na watumishi wa idara.2.wachunguze mchakato mzima wa usaili ulivyoendeshwa pamoja na tuhuma za kuwepo kwa rushwa.3.sifa za wasailiwa na vipaumbele vya idara je zilizingatiwa au kuna wengine hawakuwa na sifa.3.wabaini ni upendeleo wa aina gani ulijitokeza..hizo ni baadhi ya hadidu za rejea walizopewa kamati hiyo yenye jumla ya idadi ya wajumbe wa 5 na iliyopewa siku 10
 
Waite wakalishe chini halafu watoe hofu kwanza..waambie wasiogope mana wao hawapo..waulize kwa utaratibu kabisa nini kilitokea..Ndugu zangu tusubiri taarifa ya uchunguzi wa kamati..kumbuka kamati ina wajumbe wa 5 na imepewa siku 10 kukamilisha report hiyo..na kwa mujibu wa Nantanga kamati imepewa hadidu za rejea kuhusu uchunguzi huo..1.wachunguze uhusiano wa majina ya washukiwa na watumishi wa idara.2.wachunguze mchakato mzima wa usaili ulivyoendeshwa pamoja na tuhuma za kuwepo kwa rushwa.3.sifa za wasailiwa na vipaumbele vya idara je zilizingatiwa au kuna wengine hawakuwa na sifa.3.wabaini ni upendeleo wa aina gani ulijitokeza..hizo ni baadhi ya hadidu za rejea walizopewa kamati hiyo yenye jumla ya idadi ya wajumbe wa 5 na iliyopewa siku 10

mkuu yaani kila mara huchoki kutupa matumaini.... Naamini Yatatimia tu.
 
Ya ni kweli siku hazigandi..kamati ilishaanza kazi agosti 1 hadi agosti 10 watatangaza report hiyo hadharani..
 
mngejua walioko kwenye hiyo tume mngejuta! walewale waliosimamia zoezi la assistant inspector na wao wenyewe kuweka ndugu zao ndo wamepewa tume! what do you expect? mmoja wao ni subira Kaporo ambaye mdogo wake mangunda Kaporo nar kachaguliwa kwenye ngazi ya assistant inspector! mengine chunguzeni wenyewe
 
mngejua walioko kwenye hiyo tume mngejuta! walewale waliosimamia zoezi la assistant inspector na wao wenyewe kuweka ndugu zao ndo wamepewa tume! what do you expect? mmoja wao ni subira Kaporo ambaye mdogo wake mangunda Kaporo nar kachaguliwa kwenye ngazi ya assistant inspector! mengine chunguzeni wenyewe

Duuh nadhani ugumu nnaoupata mimi ktk walau kuwaza namna ya upatikanaji wa suluhu kwa hawa jamaa wa uhamiaji na watu wengine watakuwa wanaupata, km ni hivyo itakuwa mchakatao mzima ulikuwa na tatizo lakini je wanaweza kujitoa kwa kurudia usaili mmmmmmh! sina hakika na kigezo wanacho kwamba bajeti hakuna tena, lakini pia ni wakina nani wema watapatikana ktk kunusuru taifa hili na mdudu undugu na rushwa ktk ajira za Tanzania. hata wanyonge tunahusika ktk mgao wa keki ya taifa, mwenyezi mungu sababu ni wa kwetu sote tunapaswa kuwa na imani WATANZANIA kwamba atatutafutia namna ya kutukatia keki hiyo. Zembwela ktk kipind cha uswaz alisema 'mwenyez mungu kila ampae ulemavu lazima atampa na mwendo'
 
Kumbuka hata huko kwenye lile kundi dogo kuna wadogo zetu tuliwalipia nauli na walifaulu usaili kihalali ikiwa ni pamoja na maombi ya kila siku..sasa kutokana na uhuni wa genge hili la wanyang'anyi na wadhulumu wa haki za wanyonge ndio wakaharibu kbs...chomoa wote wasio na sifa.
 
Kumbuka hata huko kwenye lile kundi dogo kuna wadogo zetu tuliwalipia nauli na walifaulu usaili kihalali ikiwa ni pamoja na maombi ya kila siku..sasa kutokana na uhuni wa genge hili la wanyang'anyi na wadhulumu wa haki za wanyonge ndio wakaharibu kbs...chomoa wote wasio na sifa.

....hapo mwisho acha nimalize kwa kusema WABAKI WENYE SIFA.
 
Giza na kimuemue bado kikiwa kimetanda juu ya hatma ya nafasi za koplo na konstebo wa uhamiaji !! Mpaka sasa ni siku ya 4 ya uchunguzi wa tume iliyoundwa !! Tunasubiri majibu ya haki na maamuzi ya busara !! Kuna mwenye updates yoyote wana jf
 
Kaka sio siku nne leo ni siku ya tano..i mean ifikapo kesho zitabaki siku 4 ilikukamilisha siku 10 za kamati kuleta report ya uchunguzi..kumbuka wamepewa siku kumi kuanzia agosti 1 hadi agosti 10..kwaiyo hesabu tarehe na sio siku za kufanya kazi za serikali
 
Kaka sio siku nne leo ni siku ya tano..i mean ifikapo kesho zitabaki siku 4 ilikukamilisha siku 10 za kamati kuleta report ya uchunguzi..kumbuka wamepewa siku kumi kuanzia agosti 1 hadi agosti 10..kwaiyo hesabu tarehe na sio siku za kufanya kazi za serikali

mdogomdogo mpaka siku ikifika kitaeleweka tu..;
 
mdogomdogo mpaka siku ikifika kitaeleweka tu..;

wazee km vigezo vipo mngejaribu na polisi wametoa nafasi, ingawa hawa baba yao mmoja hivyo kubadilika tabia ni nadra sana, lakini mngejaribu na huko labda inaweza kuwa bahati badala ya kuwasubiri kwa hamu kiasi hicho hlf wasiporudi na majibu ya kuridhisha inaweza kuwaletea shida hata kisaikolojia. ushauri tu ndugu zangu
 
Kauli za kutatanisha tu zinatawala mitaani ,mara nafasi wanazipeleka JKT zote na watachukuliwa huko. Mara ni kuwa wale thelathini washukiwa wana vigezo.

So wote wa mwanzo wataondoka depo kama kawa, wengine wanasema zinatangazwa upya.

Ni kizungumkuti hakieleweki kipi ni sahihi but siku hazigandi ni siku 4 tu zimebaki tume iwasilishe uchunguzi wake tuone mwisho wa hii movie.
Jumatatu tunategemea majibu ya tume.

Embu mwana JFna wewe tuambie hapa umesikia kipi?
Nawasilisha.
 
Mr.mgonjwa tatizo kila mtu anavutia kamba upande wake.kwaiyo kila mtu atasema kila anachohisi kitampa moyo au matumaini..siku nne sio nyingi sana tusubiri facts kutoka kamati husika..OVER
 
Back
Top Bottom