DAWASCO

Kadanga

Member
Apr 6, 2012
80
39
Nimekatuwa maji kisa nimempa jirani maji kwamawazo yangu nilithani unit zinapo tumika kwawingi nifuraha kwa DAWASCO kumbe nikinyume, nimekutwa nawakaguzi wa mita nikiwa nampa maji jirani wakanikatia maji, kwakuwa sijui sheria hiyo nimekuwa mpole, nilithani ningeathibiwa kama maji yasingekua yanapitia kwenye mita, swali ni je mita inapozunguka nifaida au
hasara kwa DAWASCO? Nahisi ni faida sasa unaponikatia maji kwa kosa lenye faida kwa shirika nisawa Kweli? Naomba mawazo yenu
 
Back
Top Bottom