DAWASCO yafilisika rasmi, mtambo wa Ruvu juu wazimwa! 50% dar hawana maji!

Mwikimbi

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
1,762
825
wakuu,

labda wewe ni mkazi wa mlandizi, kibaha, kibamba, mbezi kimara, tabata na hujapata maji kwa wiki ya tatu sasa, na tena ugumu wa kukosa maji hujausikia vema kwa kuwa unapata maji ya mvua, lakini mvua zinaisha wiki hii na kiama kinafuata

1 hoja kuwa mafuriko ndo yanasababisha ukosefu wa maji toka chanzo cha ruvu juu hayana mashiko, mwenyewe nimetembelea pale kabla ya mafuriko na hadith yenyewe ndo hiii

ulifanyika ukarabati mkubwa wa kufunga mitambo mipya ya kupeleka umeme pale, kampuni kubwa ya siemen ndo ilifunga tranfoma kubwa sana pale, lengo ikiwa baada ya kufunga transfoma wangefunga pampu mpya zenye uwezo wa kusukuma angalau lita milioni mia tano badala ya lita 80m za sasa.

kwa sasa pump hizi za zamani ziko 4 na zina uwezo wa kusukuma lita hizo 80m kama zote zitafanya kazi, ni za zamani sana labda za miaka 70, hazijawahi kufanya kazi zote nne sana sana huwa zinakuwa nzima 2 kati ya 4!

kwa mategemeo makubwa zikaagizwa pump 2 kubwa baada ya ukarabati, kama kawaida ufusadi ukaingilia kuja kuzifunga badala ya kusukuma lita 500m kumbe hata lita 30m haziwezi, mabilioni yakatumika sasa zimefunguliwa ziko pembeni (waandishi wa habari mnaweza kwenda kuziona na kuzipiga picha pale mlandizi!!!!

sasa pump zile za zamani ndo zinatumika na ukarabati wa kila mara umekuwa jambo la kawaida, hazina uwezo hata wa kujaza matangi ya kimara, wakazi wa morogoro road sahauni kuhusu kupata maji.

madudu ya dawasco ni mengi, nakuomba mods huu uzi usiondoe labda wakubwa watauona na kujua nini kinaendelea
 
Nchi ya kitu kidogo hii kwani hata jakaya mgeni ktk kero za raia, yeye anajua kudhubaa tu
 
images
Ufisadi kwenye huduma muhimu kama za maji ni mauwaji - dawa ni hiyo hapo juu tu - hakuna kingine.
 
50% ... unawapa ujiko DAWASCO.
Barely 10% ya Dar ndiyo kuna maji, wengine wana mabomba.
 
wakuu,

labda wewe ni mkazi wa mlandizi, kibaha, kibamba, mbezi kimara, tabata na hujapata maji kwa wiki ya tatu sasa, na tena ugumu wa kukosa maji hujausikia vema kwa kuwa unapata maji ya mvua, lakini mvua zinaisha wiki hii na kiama kinafuata

1 hoja kuwa mafuriko ndo yanasababisha ukosefu wa maji toka chanzo cha ruvu juu hayana mashiko, mwenyewe nimetembelea pale kabla ya mafuriko na hadith yenyewe ndo hiii

ulifanyika ukarabati mkubwa wa kufunga mitambo mipya ya kupeleka umeme pale, kampuni kubwa ya siemen ndo ilifunga tranfoma kubwa sana pale, lengo ikiwa baada ya kufunga transfoma wangefunga pampu mpya zenye uwezo wa kusukuma angalau lita milioni mia tano badala ya lita 80m za sasa.

kwa sasa pump hizi za zamani ziko 4 na zina uwezo wa kusukuma lita hizo 80m kama zote zitafanya kazi, ni za zamani sana labda za miaka 70, hazijawahi kufanya kazi zote nne sana sana huwa zinakuwa nzima 2 kati ya 4!

kwa mategemeo makubwa zikaagizwa pump 2 kubwa baada ya ukarabati, kama kawaida ufusadi ukaingilia kuja kuzifunga badala ya kusukuma lita 500m kumbe hata lita 30m haziwezi, mabilioni yakatumika sasa zimefunguliwa ziko pembeni (waandishi wa habari mnaweza kwenda kuziona na kuzipiga picha pale mlandizi!!!!

sasa pump zile za zamani ndo zinatumika na ukarabati wa kila mara umekuwa jambo la kawaida, hazina uwezo hata wa kujaza matangi ya kimara, wakazi wa morogoro road sahauni kuhusu kupata maji.

madudu ya dawasco ni mengi, nakuomba mods huu uzi usiondoe labda wakubwa watauona na kujua nini kinaendelea

Mkuu tatizo kuu hapo ni mamlaka kati ya dawasco na dawasa .dawasco ni mwajiliwa wa dawasa hivyo yeye kazi yake ni kusanya mapato na kuyawasilisha dawasa na dawasco ndo wanashugulika na usambazaji wakati dawasa ni mamlaka ya maji safi na taka ya mkoa wa dsm sasa tatizo ni mamlaka huku nyingine ikisubiri mapato tu hapa solution ni kufanya kuwa mamlaka moja tu la sivyo mambo yatakuwa yalele tu
 
kwnn watznia?hv mmelogwa na nani kuiweka ccm madarakani?oneni sasa kila mtu anakula kwa urefu wakamba yake,ufisadi ufisadi kila sehemu.na alaaniwe anayeiweka ccm madarakani na wote tuseme AMINA
 
Mkuu tatizo kuu hapo ni mamlaka kati ya dawasco na dawasa .dawasco ni mwajiliwa wa dawasa hivyo yeye kazi yake ni kusanya mapato na kuyawasilisha dawasa na dawasco ndo wanashugulika na usambazaji wakati dawasa ni mamlaka ya maji safi na taka ya mkoa wa dsm sasa tatizo ni mamlaka huku nyingine ikisubiri mapato tu hapa solution ni kufanya kuwa mamlaka moja tu la sivyo mambo yatakuwa yalele tu

ni kawaida yetu kuficha uozo kwa 'kuchezesha lawama' kati ya chombo hiki na kile, huku ufisadi wa kijinga ukifumbiwa macho. hapo suala ni pampu feki. Bongo tutabaki nyuma daima.
 
  • Thanks
Reactions: jme
imefika wakati watanzania tujitambue wakati huo huo dsm ina wabunge wengi kutoka ccm
 
Tatizo kubwa la nchi hii halipo kwenye mapato. Tukitaka kuendelea ni LAZIMA tufanye mapinduzi makubwa kwenye suala la matumizi ya fedha na mali za umma. Hayo ya dawasco/dawasa pengine ni madogo sana. Tumetoka kufanya sherehe kubwa ya muungano....jeshi letu limetumia kiasi gani kuandaa sherehe hizi?....ilikuwa ni matumizi ya lazima? Tume ya warioba na bunge la katiba wametumia/watatumia mabilioni! Nini hasa vipaumbele vyetu kama taifa? Inauma sana.
 
50% ... unawapa ujiko DAWASCO.
Barely 10% ya Dar ndiyo kuna maji, wengine wana mabomba.

huku bunju karibia mwezi hatuna maji.....hivyo hata maeneo yenye maji kama Bunju bado kuna kukosekana kwa taarifa kipuuzi tu...
 
wakuu,

labda wewe ni mkazi wa mlandizi, kibaha, kibamba, mbezi kimara, tabata na hujapata maji kwa wiki ya tatu sasa, na tena ugumu wa kukosa maji hujausikia vema kwa kuwa unapata maji ya mvua, lakini mvua zinaisha wiki hii na kiama kinafuata

1 hoja kuwa mafuriko ndo yanasababisha ukosefu wa maji toka chanzo cha ruvu juu hayana mashiko, mwenyewe nimetembelea pale kabla ya mafuriko na hadith yenyewe ndo hiii

ulifanyika ukarabati mkubwa wa kufunga mitambo mipya ya kupeleka umeme pale, kampuni kubwa ya siemen ndo ilifunga tranfoma kubwa sana pale, lengo ikiwa baada ya kufunga transfoma wangefunga pampu mpya zenye uwezo wa kusukuma angalau lita milioni mia tano badala ya lita 80m za sasa.

kwa sasa pump hizi za zamani ziko 4 na zina uwezo wa kusukuma lita hizo 80m kama zote zitafanya kazi, ni za zamani sana labda za miaka 70, hazijawahi kufanya kazi zote nne sana sana huwa zinakuwa nzima 2 kati ya 4!

kwa mategemeo makubwa zikaagizwa pump 2 kubwa baada ya ukarabati, kama kawaida ufusadi ukaingilia kuja kuzifunga badala ya kusukuma lita 500m kumbe hata lita 30m haziwezi, mabilioni yakatumika sasa zimefunguliwa ziko pembeni (waandishi wa habari mnaweza kwenda kuziona na kuzipiga picha pale mlandizi!!!!

sasa pump zile za zamani ndo zinatumika na ukarabati wa kila mara umekuwa jambo la kawaida, hazina uwezo hata wa kujaza matangi ya kimara, wakazi wa morogoro road sahauni kuhusu kupata maji.

madudu ya dawasco ni mengi, nakuomba mods huu uzi usiondoe labda wakubwa watauona na kujua nini kinaendelea
Vijana waliamua kutoa ufahamu wao, wanapeleka malalamiko kwa mnyika pasipokujua who is responsible kwa wananchi wa Tanzania
 
Taasisi/mamlaka/asasi nyingi za serikali wakiwemo dawasco ni wadaiwa sugu...si ajabu ukisikia wamefilisika
 
Kumbe tatizo co ukosefu wa maji au kina kidogo bali tatizo ni mashine chakavu.. xaxa yale mabomba wanayoyaweka xaxa yatakuwa ya maji taka au
 
Back
Top Bottom