Dawasco wana akili timamu???kweli

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,722
21,775
Mteja bill yako ya nov 2010 a/c 00000000 ni 34,000 unadaiwa jumla ya sh 84,000 tafdhali lipa deni lako dawasco kupitia nmb;acb#######

jamani embu tuambieni wapendwa nina miezi 3 wamekata maji na mpaka sasa nadaiwa 84,000 sasa mwezi wa tatu natumiwa hito bill mpaka naogopa hawa jamaa wana akili kweli na kwa mtaji huu wanalipa wangapi pesa hewa au ndio milo ya watu guys soma mita yako ndio ulipe huku kimara wanawalitesa kweli
 
Mteja bill yako ya nov 2010 a/c 00000000 ni 34,000 unadaiwa jumla ya sh 84,000 tafdhali lipa deni lako dawasco kupitia nmb;acb#######

jamani embu tuambieni wapendwa nina miezi 3 wamekata maji na mpaka sasa nadaiwa 84,000 sasa mwezi wa tatu natumiwa hito bill mpaka naogopa hawa jamaa wana akili kweli na kwa mtaji huu wanalipa wangapi pesa hewa au ndio milo ya watu guys soma mita yako ndio ulipe huku kimara wanawalitesa kweli

Kuletwa bill siyo lazima ulipie hicho kiasi. Nenda kaweleze ofisini kwao pale Kimara na nina imani watakusikiliza na utalipa kile unachostahili kulipa.

Ikishindikana lete hapa jamvini tujadili
 
Back
Top Bottom