alexelias JF-Expert Member Sep 1, 2017 2,032 3,198 Apr 10, 2019 #1 Hawa Dawasco sasa wameanza kiburi! Leo ni siku ya tatu maeneo ya Visiga,Misugusugu hadi Mlandizi hakuna maji na hakuna taarifa yeyote toka Dawasco! Huo si uungwana!
Hawa Dawasco sasa wameanza kiburi! Leo ni siku ya tatu maeneo ya Visiga,Misugusugu hadi Mlandizi hakuna maji na hakuna taarifa yeyote toka Dawasco! Huo si uungwana!
Nazjaz JF-Expert Member Jan 20, 2011 7,684 8,832 Apr 10, 2019 #2 Maji kwa ajili ya Mlandizi mitambo ilipo hayatoki... ila Dsm maji bwerere