mama yuva
JF-Expert Member
- Aug 3, 2010
- 226
- 47
Sijui hili haliwahusu. Mbona sipati jibi?Tangu december nimekuwa nikipata bill sizielewi elewi. Lakini kwa kawaida bill ina range 15,000 - 25/30,000 kulingana na watu ninaoishi nao ndani. Sasa nashangaa leo nimeletewa bill 79,000? tena watu wamepungua sana kwangu kwa lipi? namba ni 90071710 KAwe