DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

pole kwa usumbufu. tafadhali wasiliana na kituo chetu cha huduma dawasco kimara 0743 451866
Inaelekea Customer Services Kimara hawajajipanga vizuri. Inakuwaje unapiga simu kuomba namba ya manager mtu anakujibu kuwa haijui namba ya manager? Je, namba ya manager haitakiwi kujulikana kwa wateja ili tumweleze matatizo yetu direct baada ya kuona hatupati huduma ya kuridhisha kutoka kwa watendaji walio chini yake?!!
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani. DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.

Ndugu wana jukwaa, DAWASCO inajipambanua kwa kusimamia maadili ,kutoa huduma iliyotukuka pamoja na kuhakikisha huduma ya Maji inapatikana kwa kila mwananchi.

Kama kutatokea kuharibika kwa bomba, wizi wa Maji, umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1. Kupitia tovuti: DAWASCO - Welcome to new site
2. Kupitia mitandao yetu ya kijamii ikiwa ni pamoja na Twitter|DawascoOfficial..Facebook|DawascoOfficial ...Instagram|DawascoOfficial
3. Kwa mwananchiposta ; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu
DAWASCO
P. O. Box 5340
Sokoine Drive
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu huduma kwa wateja dawasco
0800110064 /022 2164800 ( Kupiga namba hizi ni Bure)
Aisee niliomba kuunganishiwa maji akaja surveyor nikafuata baada ya week makadirio ya bei nilipe hadi leo week ya nne mara fomu yako iko kwa engineer mara kwa manager mara kwenda na kurudi.Najiuliza hivi watu wako serious kweli hadi lini hiyo fomu itakuwa tayari maana napoteza nauli zangu na muda bure kwa kitu ambacho mnaweza kufanya hata kwa dakika kumi.
 
Naomba kujulishwa,hivi haya mabomba ya inchi 6 yanayochimbiwa kuanzia pale mbezi kwa yusufu kupandisha hii Barabara ya kwenda mpiji magoe yatafika hadi wapi?
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani. DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.

Ndugu wana jukwaa, DAWASCO inajipambanua kwa kusimamia maadili ,kutoa huduma iliyotukuka pamoja na kuhakikisha huduma ya Maji inapatikana kwa kila mwananchi.

Kama kutatokea kuharibika kwa bomba, wizi wa Maji, umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1. Kupitia tovuti: DAWASCO - Welcome to new site
2. Kupitia mitandao yetu ya kijamii ikiwa ni pamoja na Twitter|DawascoOfficial..Facebook|DawascoOfficial ...Instagram|DawascoOfficial
3. Kwa mwananchiposta ; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu
DAWASCO
P. O. Box 5340
Sokoine Drive
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu huduma kwa wateja dawasco
0800110064 /022 2164800 ( Kupiga namba hizi ni Bure)
DAWASCO naomba mnifafanulie kuhusu ile administration charges/fees mnayomlipisha mteja mpya wa maji kazi yake ni nini tafadhali.
Je, hufanya shughuli zipi katika suala zima la kumuunganishia mteja maji??
 
Jaman wanajamvi

Naomba sanaaa kama kuna mtumishi DAwasco PWANI anisaidie naitaj kuunganishiwa maji nipo kongowe ya baada ya mbagara ya rangi Tatu!
 
Mmh kweli maisha yamekuwa complicated ukichanganya na mambo ya internet.yaani kweli umeshindwa kwenda ofisini ukaulizie au hata kwa wajumbe wa mambo ya maji wa mtaa wako mpk uje huku mtandaon kuanzisha thread?
 
DAWASCO mmeamua kujiunga huku JF inatakiwa muwe active kujibu hoja mbalimbali za wadau. Kuna hoja nyingi sana za msingi naona mnazipotezea bila kujibu.
 
Hello habari. Maji hayatoki/yamekatika maeneo ya Kibamba, Hondogo, Delini njia ya kwenda kanisa la Sabato. Hatuna taarifa yoyote ni siku zaidi ya 5. Asante
 
Hii mitaa yetu stakshari banana kuna baadhi mitaa maji yanamwagika kwenye mabomba tukiuliza tu naambiwa ni mabomba ya dawasco ya zamani, je labda mmefungulia kimakosa mkiwa ktk mpango wa kutuletea maji au ndio mshatuletea maji tuhangaike wenyewe jinsi ya kuyaingiza majumbani kwetu, ni hayo tu
 
Tafadhali mafundi wa Dawasco Boko kuna bomba linavujisha maji pale Ununio nyuma ya ukumbi wa 5S maji yanamwagika karibia wiki nzima sasa! Nawasilisha
 
Dawasco saivi mmekuwa wezi Sana... Mita zipo kwanini tunaletewa bills kwa makadirio na mita inafanya kazi? Tunaomba mrudishe zile bills za karatasi.
 
  • Thanks
Reactions: aye
Dawasco saivi mmekuwa wezi Sana... Mita zipo kwanini tunaletewa bills kwa makadirio na mita inafanya kazi? Tunaomba mrudishe zile bills za karatasi.

hili linakeera sana wanaleta bili za ajabu ajabu sana hawajamaasa
 
Ni ajabu sana eneo hili la Goba hakuna maji ya DAWASCO kwa zaidi ya miezi miwili na hakuna sababu yoyote inayotolewa. Eneo linalokosa maji ni eneo la shule ya St Joseph hadi kwa Sanya na, Kontena

Haiwezekani maeneo kama Kimara, Mbezi luis a,bako maji yalikuwa shida miaka yote siku hizi maji yanatoka kila siku ila huku Goba iwe mara kwa moja wa miezi miwili. Tatizo hili la muda mrefu sana zaidi ya mwaka na inaonyesha hakuna uvumbuzi.

Wananchi wanahisi kuna mchezo mchafu kati ya baadhi ya wafanyakazi wa DAWASCO na wauza maji maana wenye magari ya kuuza maji ni wengi sana huku Goba.

DAWASCO Kawe tafadhali fuatilieni hili jambo liko ndani ya uwezo wenu hatuhitaji kutumia nguvu kubwa kupata haki yetu
 
Je nihalali mteje baada ya kulipia invoice mteja kufuata Vifaa vya kuunganishia Maji (New connection) Kufuata store. Mimi ni mteja niliyelipia huduma hiyo tarehe 12/12/017 baada ya kurudisha ile invoice naambiwa ntajulishwa siku ya kufuata vifaa vya kuunganishiwa Maji kwenye store iliyoko mlandizi na mimi ni mkazi wa mailimoja na siko mbali na ofisi ya Dawasco kibaha. Nimejalibu kuulzia naambiwa ndio utaratibu wao sasa Je nihalali na baada ya kulipia sijajua hata siku Ya kupata huduma mpya.
 
Sasa hakuna haja ya kupotezeana mda Naomba nifahamishwe hivyo vifaa vitaletwa na fundi wa kunganisha maji au msaada ntapata wapi?
 
Mimi ni mteja mpya Niki kibaha nimelipa invoice ya ah 234100 tarehe 12/12/2017 lakini baada ya kurudisha fomu naambiwa ntajulishwa ili nifuate vifaa bohari yenu ya mlandizi Je hii ni sawa maana mi Niko hapa hapa mkoani sasa kwanini unisumbue mimi mteja kufuata Vifaa .????
 
Dawasco huduma za kutuwekea maji wateja tunaohitaji limekuwa gumu Sana kwenu! Mseme mmeshindwa kazi. Kila Mara thnafuatlia mnatujibu hakuna mabomba. Imagine tulianza kufuatlia kupata maji tangu Apr hadi sasa majibu na hayohayo. Sjui MNA nia gani na sisi
 
Back
Top Bottom