iInasikitisha kuona maeneo mengi ya mji wa dares salaam mabomba yakiwa yanamwaga maji hovyo barabara ni wakati wakazi wa Bunju b juu njia ya kuelekea Mabwepande hakuna maji kabisa
Tumeshapiga kelele za kutosha kwa wadau wa Dawasco ya kuwa eneo hili lote ambalo liko mkabala na Mradi wa Nyumba za watumishi wa serikali (TBA) watanzania hatuna maji ,tunafanya kununua kwenye maboza ya watu binafsi ,ambao wanayauza kwa bei ghali sana
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa,na Mbunge wetu machachari Mh Halima Mdee hebu mtusaidie msikie kilio chetu maana Dawasco wameshindwa na hili jambo
Tumeshapiga kelele za kutosha kwa wadau wa Dawasco ya kuwa eneo hili lote ambalo liko mkabala na Mradi wa Nyumba za watumishi wa serikali (TBA) watanzania hatuna maji ,tunafanya kununua kwenye maboza ya watu binafsi ,ambao wanayauza kwa bei ghali sana
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa,na Mbunge wetu machachari Mh Halima Mdee hebu mtusaidie msikie kilio chetu maana Dawasco wameshindwa na hili jambo