Dawasco na miundombinu mbovu ya maji, nn kifanyike?

Whitesmith

JF-Expert Member
Aug 12, 2017
386
517
Miundombinu ya maji ni mibovu kila kona ya mtaa kuna mifereji ya maji yanamiminika.
Napendekeza yafuatayo yafanyike;
1: ukaguzi kubaini maeno yenye miundombinu mbovu
2: uchunguzi wa kitaalam ufanyike kubaini;
A: ubora wa pipe
B: vigezo vya kina cha kulaza mabomba km yanazingatiwa
C: kama kuna mwngiliano wa pipeline na shughuli za binadamu
D: ziandalie map ya pipe line kila kitaa
E: waanzishe scientific method kubaini any leakage
F: kuwepo na field inspection ya pipe line map kwa kila mtaa

Hitimisho:
Maji yanayopotea Dar kutokana ubovu wa miundo mbinu ni mkubwa, bili ya maji inakusanywa na wanaokagua meter wapo ila wakukagua miundombinu hawapo, Dawasco liangalieni hili na muone namna yakudhibiti huu upotevu
IMG_20180718_104240.jpg
IMG_20180718_104235.jpg
 
Cjamaanisha hvo namaanisha
Wanatofaut gan katka miundo
Mbinu yao mibovu maana wote wako same same
Ok, nimekuelewa mkuu...kweli wanaweza kuwa wako sawa kuwa na miundo mbinu mbovu ila kwa sasa hivi nimeona hili la dawasco limekithiri kabla sijahamia kimara nilikuwa mabibo siku ambazo maji yanatoka mitaro pia inajaa maji
 
Ok, nimekuelewa mkuu...kweli wanaweza kuwa wako sawa kuwa na miundo mbinu mbovu ila kwa sasa hivi nimeona hili la dawasco limekithiri kabla sijahamia kimara nilikuwa mabibo siku ambazo maji yanatoka mitaro pia inajaa maji
Na maji yao wanafungulia sku wanayotaka
 
Miundombinu ya maji ni mibovu kila kona ya mtaa kuna mifereji ya maji yanamiminika.
Napendekeza yafuatayo yafanyike;
1: ukaguzi kubaini maeno yenye miundombinu mbovu
2: uchunguzi wa kitaalam ufanyike kubaini;
A: ubora wa pipe
B: vigezo vya kina cha kulaza mabomba km yanazingatiwa
C: kama kuna mwngiliano wa pipeline na shughuli za binadamu
D: ziandalie map ya pipe line kila kitaa
E: waanzishe scientific method kubaini any leakage
F: kuwepo na field inspection ya pipe line map kwa kila mtaa

Hitimisho:
Maji yanayopotea Dar kutokana ubovu wa miundo mbinu ni mkubwa, bili ya maji inakusanywa na wanaokagua meter wapo ila wakukagua miundombinu hawapo, Dawasco liangalieni hili na muone namna yakudhibiti huu upotevu
View attachment 812329 View attachment 812330
VIWANDA VINGI MITA ZAO NI MBOVU WANAKADIRIWA TU SISI ZA KWETU MBONA HAZIHARIBIKI? DAWASCO AMKENI WALE MAFUNDI NA WANAOSOMA MITA ZA VIWANDA MCHUNGUZE SANA HILI JAMBO.
 
Miundombinu ya maji ni mibovu kila kona ya mtaa kuna mifereji ya maji yanamiminika.
Napendekeza yafuatayo yafanyike;
1: ukaguzi kubaini maeno yenye miundombinu mbovu
2: uchunguzi wa kitaalam ufanyike kubaini;
A: ubora wa pipe
B: vigezo vya kina cha kulaza mabomba km yanazingatiwa
C: kama kuna mwngiliano wa pipeline na shughuli za binadamu
D: ziandalie map ya pipe line kila kitaa
E: waanzishe scientific method kubaini any leakage
F: kuwepo na field inspection ya pipe line map kwa kila mtaa

Hitimisho:
Maji yanayopotea Dar kutokana ubovu wa miundo mbinu ni mkubwa, bili ya maji inakusanywa na wanaokagua meter wapo ila wakukagua miundombinu hawapo, Dawasco liangalieni hili na muone namna yakudhibiti huu upotevu
View attachment 812329 View attachment 812330
Naunga mkono hoja na mapendekezo. Shida iliyopo ni ufanyaji kazi wa mazoea wa wafanyakazi Dawasco,nina imani ubunifu ukiwepo hali itakuwa tofauti. Wanaweza kuanzisha incentive scheme za kuwapa bonus wafuatiliaji hodari wa madeni ya maji na warekebishaji hodari wa miundombinu maana wote wanaokoa rasilimali MAJI.
 
Back
Top Bottom