Dawasco mnahabari na uharibifu huu wa Kibamba?

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
Kuna uharibufu wa hali ya juu umefanyika Kibamba, maji yanamwagika hovyo, mabomba yamekatwa hovyo na hii ni mara ya tatu ndani ya mwaka na kila mara tulilazimika kuchangishwa ili turudishiwe maji na hela tunayolipa wala hatupewi risiti.
 
Mimi nadhani kazi ya Tanesco ni kukusanya tu bili coz lioapokuja suala kukarabati miundombinu ya maji wanakuwa wanakwepa dawasco fanyeni kazi yenu huo ni wajibu wenu
 
Yaani natamani mabomba ya Dawasco yangekuwa ukiyagusa unapikauka kama wire za Tanesco hii imefikia mahali inaudhi sana watu ambao hawalipi Maji kibamba wanapata maji kila siku tena wanauza kwa watu na Dawasco wana hesabu yao uki report hakuna naefuatilia vishoka ndo usiseme wanaunganishia watu maji kwa deal wanakatia wenye mita ili urudishiwe maji unabidi uwalipe, huyo engineer ndo sitaki hata kumuona wanapoteza hela nyingi kwa ajili ya uzembe, ila wajiangalie sana yana mwiso watu tumeshawachoka Manager wao Erasto ndo kalala usingizi, subiria usidhani tumekaa kimya ukatutia kidole machoni
 
Back
Top Bottom