mwanamapinduko
Senior Member
- Jan 24, 2011
- 178
- 41
Mimi ni mkazi wa kimara temboni, huu ni mwaka wa tatu sijawahi kupata hayo maji tunayoita ya mchina. Ajabu kila mwezi dawasco wamekomaa kutuma bill najiuliza wananichokoza au wanafanya utani.
Dawasco acheni huo us#*ge!
Dawasco acheni huo us#*ge!