Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Niliwa nimetoka Bahari Beach kupata moja moto moja baridi nimeona kwa macho yangu gari ikipiga mweleka hapo Interchick Mbezi.
Hili limetokea kama dakika 40 zilizopita.
DAWASA wamechimba kando kando ya barabara ya Bagamoyo pale Interchick, kurekebisha mabomba yao.Kifusi cha kuchimba kwao wameacha barabarani na sehemu hii kuna giza.
Gari hii iliyo sommersault ni aina ya Toyota Corrolla nyeusi na nimeshuhudia vioo vya gari vikinyofoka wakati inapaa hewani na kujiviringisha .
Inatisha.
Nawalumu sana DAWASA kwa kufanya kazi bila kuzingatiakuwa hii barabara ina waendaji wengi na usiku kuna hatari kubwa na hakuna vizuizi wala tahadhari!!
Mungu ibariki wote wamepona.
Hili limetokea kama dakika 40 zilizopita.
DAWASA wamechimba kando kando ya barabara ya Bagamoyo pale Interchick, kurekebisha mabomba yao.Kifusi cha kuchimba kwao wameacha barabarani na sehemu hii kuna giza.
Gari hii iliyo sommersault ni aina ya Toyota Corrolla nyeusi na nimeshuhudia vioo vya gari vikinyofoka wakati inapaa hewani na kujiviringisha .
Inatisha.
Nawalumu sana DAWASA kwa kufanya kazi bila kuzingatiakuwa hii barabara ina waendaji wengi na usiku kuna hatari kubwa na hakuna vizuizi wala tahadhari!!
Mungu ibariki wote wamepona.