ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,242
- 8,322
Hatari sana
Yaani ni shida jamani, unafungua bomba maji yanatoka meusi kabisa, huwezi kuyatumia kwa namna yoyote ile, na inaweza kuchukua hata masaa matano ndio yanaanza kutoka masafi
Umeona eeh, sisi wakati mwingine tunashindaga siku nzima maji yanatoka machafu, tunauliza hapa wako kimya tu