nasnay
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 599
- 911
Habari, naona upo online. Mie ni mnifaika wa maji ya mkopo Kibamba. Toka nimefungiwa yale maji sijapewa invoice yoyote ya kuomyesha ni kiasi gani nadaiwa. Mmeanza kunitumia bili mwezi wa pili mwaka huu. Nahitaji kulipa ila niko nje ya mkoa, naomba muongozo