Mfupa kuunga huwa unaunga, changamoto ni kuchelewa kuunga... Sasa endapo kuna dawa za kuharakisha hili ndio ninazohitaji mimi mkuuNilisikia huwa kuna waganga wanaunganisha mifupa iliyovunjika kwa njia wanazojua
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu. Ushauri wangu, bora tumia nguvu kutafuta hela uende hospitali utapata tiba ya kudumu. Alafu ukipona utaendelea kuingiza hela kama mwanzo. Hizi short cut za kuunga mfupa kienyeji usije ishia kuoza mfupa mkuu, na biashara ikaishia hapoHosp nimeenda ila si unajua maisha yetu haya hela inaingia pale ukiwa mzima ila ukiumwa mambo yanakata...
Yes tafuta Dawa inaitwa CALCITRON kama upo dar Nenda Bariki pharmacy au RobbyOne pharmacy au Core pharmacy Utapata!! Ni calcium suppliment ina new technology that give Maximu absorpition ya calcium maana katika mfupa kujiunga tunahitaji calcium nyingi.Mfupa kuunga huwa unaunga, changamoto ni kuchelewa kuunga... Sasa endapo kuna dawa za kuharakisha hili ndio ninazohitaji mimi mkuu
Kweli mkuuPole sana mkuu. Ushauri wangu, bora tumia nguvu kutafuta hela uende hospitali utapata tiba ya kudumu. Alafu ukipona utaendelea kuingiza hela kama mwanzo. Hizi short cut za kuunga mfupa kienyeji usije ishia kuoza mfupa mkuu, na biashara ikaishia hapo
Anatumia nguvu zipi kutafuta hela, na amekwambia amevunjika mfupaPole sana mkuu. Ushauri wangu, bora tumia nguvu kutafuta hela uende hospitali utapata tiba ya kudumu. Alafu ukipona utaendelea kuingiza hela kama mwanzo. Hizi short cut za kuunga mfupa kienyeji usije ishia kuoza mfupa mkuu, na biashara ikaishia hapo
no longer at easy! 😂Mkuu take it easy
Hivi kutumia nguvu kutafuta hela ni lazima kutembea na kulima? Hapa katumia nguvu zipi kuomba msaada wa tiba mbadala?Anatumia nguvu zipi kutafuta hela, na amekwambia amevunjika mfupa
Acha hizo
Kwanini mkuu
Kuna mzee anaunga maeneo nilipo mkuu (sio mimi)