Dawa hii ni kiasi gani?Yes tafuta Dawa inaitwa CALCITRON kama upo dar Nenda Bariki pharmacy au RobbyOne pharmacy au Core pharmacy Utapata!! Ni calcium suppliment ina new technology that give Maximu absorpition ya calcium maana katika mfupa kujiunga tunahitaji calcium nyingi..hii ni dawa mpya mikoani bado haijaanza kusambaa..ni ya egypt nzuri sana
Range ya elfu 20 hadi 25 hapo!!
Yes Jamaa yule huwa anabei nzuri kidogo!! Safi sana mkuu. 2 packs zinakutosha ku recover!! pack moja ina capsules 30 kila siku unakunywa capsule moja!! Hiyo hiyo pack nyingine ni dhalura kwa mwezi unaofuata just incase hujarecover vizur..But only one pack is enough hiyo ya pili chukua just in caseMkuu nimezipata pale bariki bei yake ni 19,250/=
Sure Mkuu, nimechukua 2 pack kama ulivyonishaur! Najiona nimechelewa pia kujua hizi dawa ila mungu atanisaidia tu..Yes Jamaa yule huwa anabei nzuri kidogo!! Safi sana mkuu. 2 packs zinakutosha ku recover!! pack moja ina capsules 30 kila siku unakunywa capsule moja!! Hiyo hiyo pack nyingine ni dhalura kwa mwezi unaofuata just incase hujarecover vizur..But only one pack is enough hiyo ya pili chukua just in case
😀hazina muda mrefu mjini hapa zimeingia sokoni mwaka huu, zina miezi miwili tu!!Sure Mkuu, nimechukua 2 pack kama ulivyonishaur! Najiona nimechelewa pia kujua hizi dawa ila mungu atanisaidia tu..
Kuna bibi mmoja huko huko Mwanza pia anaunga mifupa pasipo kukugusa, anapaka dawa mikononi mwake halafu anakuwa kama anabumba mguu/mkono uliovunjika pasipo kuugusa.Kanda ya ziwa wapo wataalam wengi, wanaunga kwa kutumia dawa flan wala hawagusi kabisa sehem ilipovunjika. Kuna jamaa tunafanya nae zoez alivunjika mwaka juzi tukampeleka. Aliungwa mwez mmoja tu kawa mzima kbs...
okayWaliniandikia Antibiotics ambazo nikitunia kwa siku 5 na dawa za maumivu mkuu
aiseee plz namie nimevunjika mkono nawezaje kumpata huyo mtaalamu aiseeee anisaidieKuna mzee anaunga maeneo nilipo mkuu (sio mimi)
wakuu habarini nimepitia post kadhaa za zamani nimeona kuhusu ufundi unaotymika kuunga mfupa au mtu aliyevunjika tafadhali naombeni msaada katika hilo kwa anayefahamu mtu mwenye utaalamu huo.
bado mkuu nimekutext dm ili tuweze kuwasilianaUshapata utatuzi? Upo wap? Mwanza huku ndani ndani hua wapo mafundi Kama bado unahitaji sema
vipi hii dawa ilikusaidia nduguSure Mkuu, nimechukua 2 pack kama ulivyonishaur! Najiona nimechelewa pia kujua hizi dawa ila mungu atanisaidia tu..
Kaka msaada hizo dawa naweza para wapi nipo dar nimevunjika mguuMkuu nimezipata pale bariki bei yake ni 19,250/=