Dawa za mitishamba zaweza kuwa ni hatari katika kuzalisha péaina mpya ya COVID 19

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,653
Kabla sijaenda kwenye mada, naomba kueleza machache.

Humu JF kumekuwa na watu wanatabia ya kusoma kichwa cha habari alafu moja kwa moja wanakimbilia kutoa comment bila hata kuelewa vizuri content.

Hata Moderators wa humu kipindi hiki mmekuwa "wakurupukaji". Mnakimbilia kufuta nyuzi tu bila kusoma content na kudadavua vizuri. Mbna zamani mlikuwa na uwezo hata wa kuedit, kubalance nyuzi au kujazia content ili zieleweke vizuri?
Mnafuta Nyuzi bila hata kufatilia ukweli wake!

Wiki chache zilizopita niliandika kuhusiana na scientifici prove kuwa improper and heavy use of hand sanitizer inaweza changia katika kuzalisha ( mutate) aina mpya ya Covid 19.

Kwa sababu ilikuwa very scientifici ilibidi niandike kwa kizungu. Nilipopost hapo hapo within seconds uzi ukafutwa. Ulikuwa mrefu na si chini ya dakika 5 mtu angeweza kusoma wote. Ila dakika tu ukafutwa.

Ila cha msingi nilitaka kueleza jinsi unawaji wa mikono unaofanywa hapa nchini unaweza mutate aina mpya ya virus vya corona . Pia nikaeleza jinsi ambavyo watu wanadilute sanitizer na kujidanganya kuwa wamenawa na wameuwa kirusi.

Coronavirus: heavy use of hand sanitisers could boost antimicrobial resistance

Baada ya siku chache tu, ikagundulika tyari kuna mutation mpya za coronavirus ambazo zinadalili mpya na myths nyingne ambazo hazijajulikana.
Scientists discover unique mutation of new coronavirus

Sasa hivi leo naomba nieleze kwa ufupi dawa za mitishamba zinavyoweza kuwa hatarii kiafya. Na naomba nisijekuwa quoted kuwa ninapinga matumizi ya dawa za mitishamba. Hapana! sipingi matumizi ya mitishamba, ila naongelea matumizi yake kuweza kuwa na hatari kiafya kama vigezo na mashariti hayajafatawa. Mimi binafsi ni mtumiaji mzuri wa miti shamba kuliko dawa za hosipitalin.


Nitajaribu kueleza kwa lugha nyepesi sana na kifupi ili tuelewane kirahisi!

Kisayansi, virus infection katika mwili wa binadamu huweza mutate (mabadiliko kwenye vina saba au tabia) kutokana na matumizi ya madawa kwa kiasi kikubwa au chini ya kiwango/ dozage.

Mfano, unaumwa Amiba, ukapewa dozi ya vidonge 10 wewe ukanywa vitano tu ukaacha. Maana yake wale wadudu umewadhohofisha tu na sio kuwa umewauwa na mbaya zaidi unaweza kuta umewafanya wawe imara zaidi.

Hapa ndyo unakuja ule msemo.
" what doesn't kill you, makes you stronger"

Hata matumizi ya madawa yoyote juu ya kiwango huwa na athari kubwa katika afya ya binadam. Matumizi makubwa ya dawa siku zote hufanya ugonjwa kuwa sigu.

Ndyo maana unaskia mtu ana labda minyoo sugu, typhoid sugu, amiba sugu etc na anatakiwa atumie dawa tofaut ambazo zinanguvu zaidi. Na kumbuka tabia ya ugonjwa uliokomaa au ni sugu huwa hauoneshi dalili. Na wengi hukutwa na mauti ghafla sababu ya magonjwa sugu.



Tukirudi kwenye Covid 19, imegundulika africa kuna mutation mpya za virusi hivi. Hata hapa Tanzania imeshagundulika kuna Mutation mpya ya kirusi hiki inasambaa kwa kasi(SARS-CoV-2.). Haina dalili kama za mwanzoni, Mgonjwa anakufa ghafla tu hata bila kujua kama kaathrika, na kinaambukizwa kwa kasi ( more transmissible)

Kwanini kunakuwa na mutation mpya hasa Africa?

Ofcoz, mabadiliko ya hali ya hewa yanaweza changia kwa kiasi kikubwa kirusi kufanya Mutation ( Mabadiliko). Ila kunasababu nyingine hasa utumiaji wa miti shamba na matumizi ya sanitizer ya hali ya juu au chini.

Africa tunatumia mitishamba sana hasa kipindi hiki. Watu wamekuwa na hofu kubwa juu ya Covid 19. Watu wamepanic na wamekimbilia kutumia kila aina ya dawa asili iliyopo.

Hakuna anayejua kama ni kweli zinatibu au hapana. Ila changamoto inakuja kwenye dossage. Je kiasi kinachotumiwa ni sahihi.

Mfano hivi sasa inasemekana dawa ya madagascar inatibu korona. Walioigundua wanasema sio kuwa inauwa kirusi ila "inadhohofisha au kufubaza".

Sasa tuassume ni kweli inadhohofisha/ fubaza na je nini matokeo yake baada ya kirusi kudhohofika?

Scientificaly icho kirusi kitatafta njia ya kuadopt mashambulizi ya iyo dawa na moja wapo ni kumutate na kuwa strong zaidi.

Nimetumia mfano wa dawa wa madagascar ila hapa nchini watu tumeshauriana kutumia dawa nyingi za mitishamba bila ya kuwa na kiwango maalumu au special combination.

Ndyo maana unasikia siku hizi watu wanakufa kwa kuugua kwa muda mfupi tu. Yani unakufa ghafla. Kirusi hakioneshi dalili yoyote mpaka mauti inakufika.

Kila virus ipo tofaut na inahitaji dawa tofaut au dosage tofauti ili kupambana nacho. Sasa, sio kisa et Covid 19 ni jamii ya mafua ukafikiri dawa ya mafua inaweza itibu, ..Hapana

USHAURI.
Kinga ni bora kuliko Tiba. Kwasababu dawa maalumu haijapatikana Tusipanic. Tuweke juhudi katika kujikinga. Vaa barakoa na nawa mikoro mara kwa mara.

Tujitahidi kuwa na afya njema wakati wote.

Tuzingatie kula lishe bora, matunda na mboga zenye uwezo mkubwa wa kuongeza kinga ya mwili hasa mafuta mabichi ya mawese.

Si vizuri kutumia madawa hvyo hvyo bila kupima au kufata ushauri wa madaktari.

Serikali ifanyie Tafiti madawa yetu ya mitishamba labda zinaweza kuwa solution katika hili janga.


More links.
1.https://www.npr.org/sections/goatsandsoda/2020/05/08/852081139/the-coronavirus-is-mutating-thats-normal-does-that-mean-it-s-more-dangerous

Asante.
Nakaribisha Maswali. Tujibishane kwa hoja sio matusi wala kejeli.
 
Aisee kwenye kunawa hapo kuna vituko sana. Yaani watu wanachakachua sabuni za maji, wengine wanaweka former au sabuni ya kipande kama sanitizer n.k. Suala la uvaaji was barakoa sitaki hata kulizungumzia maana ni vituko.

Kuhusu tahadhari uliyoitoa tunatakiwa kuizingatia.
 
Aisee kwenye kunawa hapo kuna vituko sana. Yaani watu wanachakachua sabuni za maji, wengine wanaweka former au sabuni ya kipande kama sanitizer n.k. Suala la uvaaji was barakoa sitaki hata kulizungumzia maana ni vituko.

Kuhusu tahadhari uliyoitoa tunatakiwa kuizingatia.
Kweli taadhari ni ya msingi sana hapa. Isije ikatokea mwisho wa siku kuwa chanjo ya covid 19 imepatikana ila kirusi kilichopo africa ni Covid 20 tusibiri miezi mingine 18 itaftwe chanjo yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
Screenshot_20200508-201023_Twitter.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepata mwangaza mzuri katika uelew japo swali langu kwa mtoa mada linakuja kwenye kipengere cha kufubaza kuwa unaweza kuleta kirusi kingine na kile cha awali kwa kutumia dawa aidha zisizo na viwango au zilizozidi kiwango. Nadhami hizi niza mitishamba.
Je hizi dawa za kutibu virusi vya ukimwi tunaambiwa zinawafubaza hao virusi, unamaanisha walioathirika wanajitengenezea tatizo lingine kubwa zaidi ya walilonalo kwa muktadha wa maelezo yako?
 
Nimepata mwangaza mzuri katika uelew japo swali langu kwa mtoa mada linakuja kwenye kipengere cha kufubaza kuwa unaweza kuleta kirusi kingine na kile cha awali kwa kutumia dawa aidha zisizo na viwango au zilizozidi kiwango. Nadhami hizi niza mitishamba.
Je hizi dawa za kutibu virusi vya ukimwi tunaambiwa zinawafubaza hao virusi, unamaanisha walioathirika wanajitengenezea tatizo lingine kubwa zaidi ya walilonalo kwa muktadha wa maelezo yako?
Swali zuri.

Wagonjwa wa HIV wanatumia ARV. Kwa kirefu ni Antiretroviral ambazo ni dawa zinazozuia virus zisi replicate ( zisizaliane). Hii maana yake ARV haiuwi wadudu bali inakinga wasiongezeke.

Vile vile hata kirus cha HIV kimeundergo mutation. Mwanzo kilikuwa kinasamba hata kwenye majimaji ila sasa unaambiwa kinaambukizwa kwa kupitia damu tu.


Kirusi cha zaman kilikuwa ni stage 1 unakufa. Sasa hivi kinapitia kama stage 3 ndyo unakufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali zuri.

Wagonjwa wa HIV wanatumia ARV. Kwa kirefu ni Antiretroviral ambazo ni dawa zinazozuia virus zisi replicate ( zisizaliane). Hii maana yake ARV haiuwi wadudu bali inakinga wasiongezeke.

Vile vile hata kirus cha HIV kimeundergo mutation. Mwanzo kilikuwa kinasamba hata kwenye majimaji ila sasa unaambiwa kinaambukizwa kwa kupitia damu tu.


Kirusi cha zaman kilikuwa ni stage 1 unakufa. Sasa hivi kinapitia kama stage 3 ndyo unakufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asanye kwa maelezo. Shukran!
 
Mada nzuri sana hata mimi nimestuka kusikia kinafubaza ina maana watua watakuwa macarier wa virusi vya corona mungu atulinde
 
Ahsante kwa uzi mzuri ila sentensi ya mwisho naomba nikukosoe.
Hakuna daktari kwa hapa Tanzania atakushauri kitu cha muhimu kuhusu Corona maana hata wao wanaishia kugoogle na ndio wanaoathiri pia, wakimwona mgonjwa wanatimua mbio.
Kabla sijaenda kwenye mada, naomba kueleza machache.

Humu JF kumekuwa na watu wanatabia ya kusoma kichwa cha habari alafu moja kwa moja wanakimbilia kutoa comment bila hata kuelewa vizuri content.

Hata Moderators wa humu kipindi hiki mmekuwa "wakurupukaji". Mnakimbilia kufuta nyuzi tu bila kusoma content na kudadavua vizuri. Mbna zamani mlikuwa na uwezo hata wa kuedit nyuzi au kujazia content ili zieleweke vizuri?

Wiki chache zilizopita niliandika kuhusiana na scientifici prove kuwa improper and hevy use of hand sanitizer inaweza changia katika kuzalisha ( mutate) aina mpya ya Covid 19.

Kwa sababu ilikuwa very scientifici ilibidi niandike kwa kizungu. Nilipopost hapo hapo within seconds uzi ukafutwa. Ulikuwa mrefu na si chini ya dakika 5 mtu angeweza kusoma wote. Ila dakika tu ukafutwa.

Ila cha msingi nilitaka kueleza jinsi unawaji wa mikono unaofanywa hapa nchini unaweza mutate aina mpya ya virus vya corona . Pia nikaeleza jinsi ambavyo watu wanadilute sanitizer na kujidanganya kuwa wamenawa na wameuwa kirusi.

Coronavirus: heavy use of hand sanitisers could boost antimicrobial resistance

Baada ya siku chache tu, ikagundulika tyari kuna mutation mpya za coronavirus ambazo zinadalili mpya na myths nyingne ambazo hazijajulikana.
Scientists discover unique mutation of new coronavirus

Sasa hivi leo ningependa nieleze kwa ufupi dawa za mitishamba zinavyoweza kuwa hatarii. Na naomba nisijekuwa quoted kuwa ninapinga matumizi ya dawa za mitishamba. Hapana, sipingi matumizi ya mitishamba ila naongelea matumizi yake kuweza kuwa na hatari kiafya kama vigezo na mashariti hayajafatawa. Mimi binafsi ni mtumiaji mzuri wa miti shamba kuliko dawa za hospitalin.


Nitajaribu kueleza kwa lugha nyepesi sana na kifupi!

Kisayansi, virus infection katika mwili wa binadamu huweza mutate (mabadiliko kwenye vina saba au tabia) kutokana na matumizi ya madawa yaliyo chini ya kiwango au dozage.

Mfano, unaumwa Amiba, ukapewa dozi ya vidonge 10 wewe ukanywa vitano tu ukaacha. Maana yake wale wadudu umewadhohofisha tu na sio kuwa umewauwa na mbaya zaidi unaweza kuta umewafanya wawe imara zaidi.

Hapa ndyo unakuja ule msemo.
" what doesn't kill you, makes you stronger"

Ndyo maana unaskia mtu ana labda minyoo sugu, typhoid sugu, amiba sugu etc na anatakiwa atumie dawa tofaut ambazo zinanguvu zaidi. Na kumbuka tabia ya ugonjwa uliokomaa au ni sugu huwa hauoneshi dalili. Na wengi hukutwa na mauti ghafla sababu ya magonjwa sugu.



Tukirudi kwenye Virus ya corona, imegundulika africa kuna mutation mpya za virusi hivi. Hata hapa Tanzania imeshagundulika kuna Mutation mpya ya kirusi hiki.

Kwanini kunakuwa na mutation mpya hasa Africa?

Ofcoz, mabadiliko ya hali ya hewa yanaweza changia kwa kiasi kikubwa kirusi kufanya Mutation ( Mabadiliko). Ila kunasababu nyingine hasa utumiaji wa miti shamba na matumizi ya sanitizer ya hali ya juu au chini.

Mfano hivi sasa inasemekana dawa ya madagascar inatibu korona. Walioigundua wanasema sio kuwa inauwa kirusi ila "inadhohofisha au kufubaza".

Sasa tuassume ni kweli indhohofisha/ fubaza na je nini matokeo yake baada ya kirusi kudhohofika?

Scientificaly icho kirusi kitatafta njia ya kuadopt mashambulizi ya iyo dawa na moja wapo ni kumutate na kuwa strong zaid.
Nimetumia mfano wa dawa wa madagascar ila hapa nchini watu tumeshauriana kutumia dawa nyingi za mitishamba bila ya kuwa na kiwango maalumu au special combination.

Ndyo maana unasikia siku hizi watu wanakufa kwa kuugua kwa muda mfupi tu. Yani unakufa ghafla. Kirusi hakioneshi dalili yoyote mpaka mauti inakufika.

Kila virus ipo tofaut na inahitaji dawa tofaut au dosage tofauti ili kupambana nacho. Sasa, sio kisa et Covid 19 ni jamii ya mafua ukafikiri dawa ya mafua inaweza itibu, ..Hapana

USHAURI.
Kinga ni bora kuliko Tiba. Kwasababu dawa maalumu haijapatikana Tusipanic. Tuweke juhudi katika kujikinga. Vaa barakoa na nawa mikoro mara kwa mara.

Tujitahidi kuwa na afya njema wakati wote.

Tuzingatie kula lishe bora, matunda na mboga zenye uwezo mkubwa wa kuongeza kinga ya mwili hasa mafuta mabichi ya mawese.

Si vizuri kutumia madawa hvyo hvyo bila kupima au kufata ushauri wa madaktari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nakupongeza kwa hii thread ni nzuri sana hata mimi napenda madawa ya kienyeji ila sipendelei kutumia kulingana na madhara yake watu wamekalili kuangalia faida tu pasinakuangalia madhara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu naona hakijaeleweka,dawa kama inakifubaza kirusi maana yake inasaidia kinga ya mwili kukishambulia na kukishinda kirusi kwa urahisi.Ni sawa na kumlewesha golikipa ili washambuliaji wamfunge kiurahisi.
Nina uhakika dawa na chanjo ya korona ipo kwenye mimea,kama unakataa kutumia mitishamba kujitibu kisa WHO hawajathibitisha basi ujue wewe ni mtumwa wa kifikra.Wazee wetu walitumia mitishamba kujitibia na walipona pasipo ruhusa ya WHO au mzungu yeyote.
Mzazi akiuguliwa na mtoto hutumia kila tiba kuhakikisha mtoto wake anapona,acheni serikali ijaribu kila mbinu kutibu Watu wake katika janga hili la covid-19.
 
Kuna kitu naona hakijaeleweka,dawa kama inakifubaza kirusi maana yake inasaidia kinga ya mwili kukishambulia na kukishinda kirusi kwa urahisi.Ni sawa na kumlewesha golikipa ili washambuliaji wamfunge kiurahisi.
Nina uhakika dawa na chanjo ya korona ipo kwenye mimea,kama unakataa kutumia mitishamba kujitibu kisa WHO hawajathibitisha basi ujue wewe ni mtumwa.
Mzazi akiuguliwa na mtoto hutumia kila tiba kuhakikisha mtoto wake anapona,acheni serikali ijaribu kila mbinu kutibu Watu katika janga hili la covid-19.
Tunaongelea vitu scientifically mada sijui za kisiasa sijui WHO sidhani kama kinausika. Unachoongelea hakipo tofaut na nilichozungumzia sema wewe unatumia porojo za kisiasa

Kirusi kinapofubazwa kuna mawili.
1. Kuwa strong au kuwa weak.

Katika linki niliyoweka pia wameongelea ilo. Kuwa kuna mutation strong na nyingine ni hafifu.

Ila mutation ilyogunduliwa africa imeonesha tabia ya kureproduce/ kureplicate very fast huku ikiwa imeficha dalili zake.

Na kuhusu fact kuwa kinga ya mwili itasaidia kupigana kumbuka watu tunatofautiana kinga ya mwili. Yupo atakayebaki kuwa carrier sababu immune system ipo vzur, na mwingine hana kinga kama wale wenye magonjwa ya kisukar, HIV ndyo unaskia wanaanguka tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom