Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

Mr's goole

Member
Aug 30, 2011
17
8
causes-of-infertility.jpg

Nipo kwenye ndoa miaka 2 hadi sasa sijawahi kushika ujauzito.

Nimepima vipimo vyote mie na mume wangu hatuna tatizo. Naenda mwezini kama kawaida. Sijawahi kutoa mimba wala kutumia njia yoyote kuzuia mimba. Nimekunywa dawa na kuonana na madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake naambiwa sina tatizo. Mume wangu naye hana tatzo.

Huyu ni mwanaume wangu aliyenitoa usichana na amenioa sijawahi kuwa na mwanaume mwingine. Sijawahi kuugua gonjwa lolote la gono. Nipo makini na vyakula ninavyokula.

Nisaidieni mwenzenu kwani nimechanganyikiwa. Sijui inmerogwa? Natamani niende kwa jadi ila naogopa. Tatizo hili ni nini?

WADAU WENGINE WENYE TATIZO HILI
Ndugu zangu wana JF. Mimi nimeolewa nina miaka 5 ya ndoa. Mwaka 2011 nilipata ujauzito, miez 3 nikawa namwaga maj meupe na mepes kama maji ya bomba, nilikua naenda hospkila baada ya cku 1 au kila cku mana hali ilizid kuwa mbaya, lakini host hawakuona tatizo, mgongo ukawa unauma mpaka nikawa siwezi kusimama, nilikaa na hiyo hali mpaka mimba ya miezi 6 nazunguka hosp na maombi.

Miez 6 na wk 2 nilimwaga dam nying sana nikakimbizwa miko tegeta wakakuta mtoto yuko vizur na dam haikukata mpaka wk 2 nikajifungua njit alifarik baada ya masaa 8, bas nilipumzka miez 6 nikiuguza kiuno mana hakikupona then nikapata ujauzto ukatoka miez 2, nikabeba tena ikatoka miezi 3, nikapumzka miez 8 nikabeba tena na kila nikipata ujauzto wiki moja tu nakuwa na hal ya kuwashwa, kuwaka moto kiuno kama uchungu uchungu damu huanza kudondoka mpaka mimba itoke. Mimb ya mwsho ilikua 2013 Nov. Ilivoanza dalili dokta akanipa duphastone had miez 5, miez 7 wk 2 nikaumwa nikapata oprtion alifarik pia.

HIVI SASA NINA MIEZ 8 YA OPERATION, TATZO NIN? NAWEZA BEBA TENA?
Nina rafiki yangu ambaye ana mwaka wa nne katika ndoa yao ana tatizo la kutoshika mimba. Wameshaenda hospitali nne tofauti na mumewe kuchekiwa na wameambiwa wote wawili hawana tatizo lolote. Nilipomuuliza je huwa wanafanya kwenye zile siku hatari alijibu ndio huwa wanafanya kwani kila mmojawao ana hamu na mtoto kwa muda huu na hajawahi kutoa mimba maishani mwake.

Tatizo kubwa linamsumbua huyu dada ni kuwa wanataka mtoto, pia mumewe na ameshamuambia mwaka huu ukiisha kama hajapata mimba ni lazima atatafuta mtoto nje ya ndoa ili aitwe baba.

Jamani naomba mumsaidie huyu rafiki yangu kwani hajui tatizo ni nini hadi hashiki mimba, yupo radhi hata kutumia tiba mbadala/ dawa ya asili itakayomsaidia kuweza kushika mimba haraka. Nakaribisha mawazo, ushauri n.k
Niko na mme wangu it's about 3 years now toka tuishi pamoja. Kila tukikutana na kushiriki on danger days naishia kubleed damu nyingi sana na maumivu makali. Tulienda hospitali tukapima zinaa zote bila mafanikio, but nkikaribia kubleed nahisi dalili zoote za ujauzito then tunaishia uzuni kwa kubleed damu rundo. One doctor alibaini mbegu za mme wangu kutokua na nguvu za kutosha kutungisha akatupa ushauri na vyakula vya kutumia but tatizo liko palepale.

Juzi dokta mwingine kasema nina shida mimi kwenye mfuko wa uzazi, akanipa dawa nkatumia na ziliisha last week.

Please madaktari, hebu tupeni ushauri ili Mungu atufungulie tupate mtoto. G'time

Poleni kwa mgomo unaogusa maisha yenu.

Asitokee mtu kuwalaumu kana kwamba hatumjui adui ni nani.


USHAURI/ MAONI YA WADAU
HOW TO GET PREGNANT
  • Ready for motherhood?
Some women are blessed with fertility and get pregnant quickly and easily the old-fashioned way. For others, conceiving is not so simple. These step-by-step baby-making basics will help any woman understand when she is most fertile, how often and when to have sex and when to seek help for infertility.
Difficulty:Moderately Easy[h=2]Instructions[/h]
    • 1 Find a partner. For some, this is the hardest part.

    • 2 If you are currently on the pill as a form of birth control, discontinue taking it. Most doctors recommend that women wait three cycles while their bodies adjust to being off the pill before trying to conceive.

    • 3 Start taking a prenatal vitamin before getting pregnant. Medical professionals recommend that women get a daily dose of 400 micrograms of folic acid starting at least a month before trying to get pregnant and at least 600 micrograms a day once pregnant. Research has indicated that doing so can reduce the risk of neural tube defects in babies by up to 70 percent.

    • 4 Balance your hormones with good nutrition and herbal supplements. Zinc, calcium, magnesium and B6 are great for sustaining hormonal balance. Various herbs associated with balanced hormones include chamomile, raspberry leaf, ginkgo biloba, saw palmetto, ginseng, licorice root and black cohosh. Consult your doctor if you are unsure of the effects of any herbal supplements.

    • 5 The best time to develop a healthy lifestyle is before pregnancy. Maintain a healthy weight, exercise regularly, eat healthy foods, reduce stress and don't smoke, consume alcohol or do any other recreational drugs. These good habits may help you get pregnant more easily and will certainly serve you and your baby well during pregnancy.

    • 6 Determine when you ordinarily ovulate. For most women, this is in the middle of their menstrual cycle, around day 14, although the exact timing varies among women. There are a number of ways to determine when you are ovulating, from tracking your basal body temperature and watching for changes in cervical mucus to simply purchasing an ovulation calculator at the drug store.

    • 7 Have regular, unprotected sex around the time you ovulate. Since sperm cells can survive in the reproductive tract for two to three days, it's best to have sex every day for at least a few days leading up to ovulation. So for example, if the average woman ovulates on day 14, it's best to have sex on days 12, 13 and 14 of her menstrual cycle.

    • 8 On the first day of a missed period, take an early pregnancy test and find out if all of your hard work has paid off.

    • 9 Repeat these steps each month until you are pregnant.
Tips & Warnings

If you are concerned about any existing health issues or unhealthy habits that you or your partner may have, consider preconception planning. Your doctor can assess your overall health and help you identify lifestyle changes that may improve your chances for a healthy pregnancy.

  • A healthy couple without any known fertility problems only has a 25 percent chance of conceiving during any given cycle. So if it's taking a while to get pregnant, be patient. Medical professionals define infertility as the inability to get pregnant after 12 consecutive cycles of trying.

  • Infertility affects both men and women but treatment is available. Depending on the source of the problem, your gynecologist, your partner's urologist, a family doctor or a fertility specialist may be able to help. Nowadays, there are many options for infertile couples trying to conceive, including infertility drugs, artificial insemination, in vitro fertilization (IVF) and other assisted reproductive technologies.

  • Avoid taking synthetic horomones, anti-depressants and other drugs leading up to getting pregnant. Chemicals can alter your body's natural hormonal state and make pregnancy more difficult.

  • The odds of conceiving each month decrease as you get older.
NJIA ASILI YA KUONDOKANA NA UGUMBA (INFERTILITY)

Asali inaaminika kuamsha nyege na wapenzi wa jinsia zote mbili wanashauriwa kunywa angalau vijiko viwili {vya mezani} kila siku kabla ya muda wa kulala {usiku}.

Mdalasini umetumika kwa muda mrefu kwenye dawa za kihindi na kichina ili kuongeza uwezo wa uzazi ka kina mama wenye kuhitaji kuzaa.

Kiungo hiki {mdalasini} huchanganywa na kiasi cha asali na kufanya mgando {paste} ambao hupakwa kwenye fizi za meno na kunyonywa na kuingia mwilini taratibu.

Familia moja iliyokuwa haina watoto iltumia mgando huu kwa mafanikio na kupata mapacha wa kike baada ya kushindwa kwa muda wa miaka 14 kupata mtoto. Walikuwa wameshakata tamaa ya kupata mtoto hadi waliposikia kuhusu mchanganyiko huu wa asali na mdalasini.
ONDOA HOFU KWANZA
Hakuna sababu ya kuwa na hofu kwa muda huu wa miezi 3 kwa sababu tafiti zinaonesha kuwa kwa watu wasio na matatizo ya uzazi , na ambao wanafanya tendo la ndoa bila ya kinga kawaida ushikaji mimba ni kama ifuatavyo;

50% hupata mimba ndani ya miezi mitatu ya mwanzo
22% hupata mimba baada ya miezi 6
13% hupata mimba ndani ya miezi 12
15% waweza wapate mimba baada ya mwaka moja hadi miwili.

Ushauri wangu ni kuwa hakuna haja ya kuwa na wasiwasi kwa wakatu huu unless unataka kujiondoa wasiwasi kwa vipimo, kwa kwasababu hata madaktari hutafsiri mtu mwenye matatizo ya uzazi ni yule aliyekaa na mwenza kwa miaka isiyopungua miwili wakijamiana kwa uchache mara tatu kwa wiki bila ya kinga.
NJIA HII HUENDA NI SULUHU INGAWA YA AJABU
Ninachojaribu kusema hapa siyo kuwashawishi wanawake wasioshika mimba kunywa pombe, ili waweze kupata mimba, hapana. Maana najua wahafidhina watanitia vidole vya macho. Ninachotaka kusema ni kwamba, huenda pombe hufanya mambo fulani yenye kuweza kuchochea upatikanaji wa mimba kwa haraka.

Kama ukichukua wanawake na kuwaambia kila mmoja apange kupata ujauzito kwa kipindi cha miezi miwili ijayo, tegemea kuona karibu wanane kati ya kila kumi kati ya watakaopata mimba, kuwa ni wale ambao wanakunywa pombe, angalau kwa kiwango cha chupa zisizozidi mbili kutwa. Halafu mmoja katika kumi atakuwa ni yule asiyekunywa pombe.

Wale wanaokunywa sana pombe kwa kiwango cha zaidi ya chupa tatu kwa siku hawa itawalazimu wasubiri kwa mwaka mzima kabla hawajapata mimba. Ni vigumu kwao kuamua kupata mimba na wakaipata kwa muda mfupi. Watafiti wanasema, kiwango cha wastani cha pombe huwachosha wanawake kushiriki zaidi kwenye tendo la ndoa, hivyo yamkini ya kupata ujauzito huongezeka sana.

Kama wanakunywa wastani wa bia mbili, wanakuwa kwenye nafasi ya kuhitaji kufanya tendo la kujamiiana kila baada ya siku moja, wakati wale wasiokunywa wanaweza kukaa wiki nzima bila kujisikia kujamiiana hasa kama mambo yanayowasonga ni mengi. Kupata mimba pia kunahitaji utulivu wa mawazo kwa kiasi fulani. Mwanamke akishakunywa bia mbili kwa mfano, mawazo yake huweza kutulia, hata kama ni kwa muda. Hapo uwezekano wa mimba nao huongezeka.

Dk. Peter Bowen, yeye anasema, kama mwanamke ni mnywaji pombe na anahitaji mimba, inabidi kila jioni anywe glasi moja ya ya mvinyo (wine) kabla hajaenda kulala. Anazungumzia mwanamke mwenye mume au mpenzi na mbaye mumewe yuko tayari kukutana naye kila anapohitaji. Vinginevyo mvinyo huo unaweza kuwa kero kwake. Dk. Bowen anasema, kusongeka kimawazo huwa kunawafanya wanawake wengi kushindwa kupata ujauzito. Hivyo kupata kitulizo cha mawazo cha muda mfupi kunaweza kusaidia.

View attachment 57995
Wakati mwingine inawezekana:-

1. High sperm DNA damage
One prominent cause is high sperm DNA damage. Fortunately, there are available medical examinations that can detect this kind of disorder. The test results will return a percentage of damaged sperms: a result below 15% is considered normal, while results higher than 25% mean that there is a lower chance of successful conception even with infertility treatments.

2. Follicle or fallopian tube problems
On the other hand, there can be other reproductive system malfunctions that cause infertility, but cannot be detected by the above-mentioned set of standard tests. One such abnormality occurs when the fallopian tubes cannot receive the matured egg successfully, therefore the egg never meets the sperm. There is a chance that the woman produces deformed eggs, or that the follicles do not rupture properly to release the matured egg. It remains trapped inside the follicle (Luteinized Unruptured Follicle).

3. Immunological factors (hii ni muhimu aijue)
There are certain immunological factors to be taken into account, such as sometimes the body of the woman may misinterpret the sperms to be hostile organisms, and might kill them, or immobilize them.

4. Infections
Sometimes infections are responsible for infertility, that don’t show up in clinical examinations, but are nevertheless present in the patient’s system, which is why some doctors use antibiotics during therapy.

5. Sperm problems
The problem can be with the man’s sperms: occasionally it is too weak to penetrate the egg. This possibility can be easily excluded by performing a donor test. If the donor’s sperm is able to penetrate the woman’s egg, then the problem is definitely with the man’s sperm. Even the uterine lining can have hardly detectable abnormalities which do not allow the egg to implant. But with multiple vaginal ultrasound tests this problem can be detected. If the uterine lining is too thin, the root cause may be related to smoking, which can prevent blood flow to the uterus.

PIA, SOMA:

SABABU ZA MWANAMKE KUSHINDWA KUPATA UJAUZITO

Moja ya matatizo yaliyoko katika jamii zetu na yamesababisha wanandoa wengi au wanawake wengi kukosa furaha, ni kukosa uwezo wa kupata ujauzito kwa mwanamke. Sote tunafahamu kuwa, swala la mwanamke kupata ujauzito linahusisha pande zote mbili, yaani upande wa mwanamke na pia upande wa mwanamme, wote wawili wanapokuwa katika afya nzuri ndipo ujauzito unaweza kupatikana kwa mwanamke.

Miongoni mwa sababu zinazoweza kumfanya mwanamke ashindwe kupata ujauzito ni kama zifuatazo:

Matatizo katika homoni, hii ni kutokana na kwamba, mzunguko (Menstrual cycle) katika mwili wa mwanamke hutawaliwa na hizi kemikali asilia ndani ya mwili ambapo mabadiliko madogo yakitokea katika uzalishaji wa hizi homoni au homoni kuzalishwa katika wakati ambao siyo muafaka huweza kupelekea mwanamke akashindwa kupata ujauzito, pia tatizo la kuwa na uzito wa mwili mdogo sana au mkubwa sana pia huathiri hali nzima ya homoni na kupelekea kushindwa kupata ujauzito.

Umri, kwa wanawake uwezo wa kupata ujauzito unapungua kwa kadri umri unavyoongezeka, hii inatokana na kupungua kwa uzalishaji wa homoni husika wakati umri unavyoongezeka. Kuanzia miaka 35 na kuendelea huwa kunakuwa na tatizo la kushindwa kupata ujauzito kwa wanawake wengi.

Kuziba kwa mirija (fallopian tubes), hii husababisha mbegu za kiume (sperms) zishindwe kulifikia yai na kulirutubisha ili ujauzito utokee. Kuziba kwa mirija huweza kusababishwa na magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiiana, matatizo katika kizazi au upasuaji. Mara nyingi wanawake ambao mirija yao imeziba, hawahisi dalili zozote.

Ute ute katika kizazi (mucus problems), ute unaopatikana katika kizazi cha mwanamke huwa na sifa ya kuruhusu mbegu za kiume ziweze kusafiri kwa urahisi na kulifikia yai ili kulirutubisha. Kwa baadhi ya wanawake ute huu unakuwa na uzito na kemikali ambazo ni vigumu kwa mbegu za kiume kuweza kupita, na wakati mwingine mwili wa mwanamke huzalisha sumu ambazo huziua mbegu za kiume, haya yote husababisha kukutana kwa yai na mbegu za kiume kusitokee na hivyo ujauzito kutopatikana.

Uvimbe katika kizazi (fibroids), hii huchangia asilimia tatu (3%) katika mwanamke kutopata ujauzito. Uvimbe huu ambao hutokea katika kuta za mji wa mimba, kwa namna moja au nyingine huweza kuzuia yai lililorutubishwa lisikae sehemu yake na hivyo kuathiri kizazi.

Matibabu ya kansa, kwa kutegemeana na aina ya matibabu, aina ya dawa au njia ya mionzi, hizi huweza kumuathiri mwanamke na kumsababishia kushindwa kupata ujauzito.

Ukomavu katika kizazi, kwa baadhi ya wanawake wanayo matatizo ambayo kizazi chao huwa hakijakomaa vizuri au katika kuzaliwa kwao walizaliwa na tatizo hili ambalo, kizazi hakiko sawa (abnormally developed uterus).

Asilimia kubwa ya matatizo ya mwanamke kushindwa kupata ujauzito yanayo tiba, kama unalo tatizo katika kupata ujauzito usikate tamaa, onana na wataalamu wa afya ili uweze kujua chanzo cha tatizo lako na kupatiwa msaada unaostahili.

Chanzo: tanzlife.co.tz
 
Pole sana mkuu wala usife moyo and keep on trying kuna mtu ninamjua alikuwa na shida kama hiyo ila hakufa moyo na baada ya miaka kumi kazi yake ika-pay off na sasa anae mtoto usife moyo na endelea kuwaona wataalamu tofauti pia angalia hapa chini nime-Google.

· If you are currently on the pill as a form of birth control, discontinue taking it. Most doctors recommend that women wait three cycles while their bodies adjust to being off the pill before trying to conceive.
· 3
Start taking a prenatal vitamin before getting pregnant. Medical professionals recommend that women get a daily dose of 400 micrograms of folic acid starting at least a month before trying to get pregnant and at least 600 micrograms a day once pregnant. Research has indicated that doing so can reduce the risk of neural tube defects in babies by up to 70 percent.
· 4
Balance your hormones with good nutrition and herbal supplements. Zinc, calcium, magnesium and B6 are great for sustaining hormonal balance. Various herbs associated with balanced hormones include chamomile, raspberry leaf, ginkgo biloba, saw palmetto, ginseng, licorice root and black cohosh. Consult your doctor if you are unsure of the effects of any herbal supplements.
· 5
The best time to develop a healthy lifestyle is before pregnancy. Maintain a healthy weight, exercise regularly, eat healthy foods, reduce stress and don't smoke, consume alcohol or do any other recreational drugs. These good habits may help you get pregnant more easily and will certainly serve you and your baby well during pregnancy.
· 6
Determine when you ordinarily ovulate. For most women, this is in the middle of their menstrual cycle, around day 14, although the exact timing varies among women. There are a number of ways to determine when you are ovulating, from tracking your basal body temperature and watching for changes in cervical mucus to simply purchasing an ovulation calculator at the drug store.
· 7
Have regular, unprotected sex around the time you ovulate. Since sperm cells can survive in the reproductive tract for two to three days, it's best to have sex every day for at least a few days leading up to ovulation. So for example, if the average woman ovulates on day 14, it's best to have sex on days 12, 13 and 14 of her menstrual cycle.
· 8
On the first day of a missed period, take an early pregnancy test and find out if all of your hard work has paid off.
· 9
Repeat these steps each month until you are pregnant.
How to Get Pregnant | eHow.com
 
Duh! Ebana dada pole sana kwa haya majibu unaweza ukajiona upo peke yako au ni jambo la ajabu au ni makosa yako au makosa ya mwenza wako, lakini ukweli ni kwamba haya mambo yapo na fertility za watu zinatofautiana kwahiyo endelea kuwaona wataalamu na endelea kula vyakula bora, supplements na kufanya tendo la ndoa kila ukiwa kwenye ovulation.
 
With Jesus, everything is possible. Believe in Jesus and wait upon HIM. Ni mewaona wengi wenye tatizo kama lako sasa wananyonyesha.As long as dr amethibitisha kuwa hakuna mwenye tatizo kati yenu, basi inahitajika nguvu isiyo onekana! By the way kuna semina ya mtumishi wa Mungu mwl Mwakasege inaanza Jumapili hii pale Kinondoni Biafra kuanzia saa 9 usikose.
 
Pole sana dada, mi naamini siku ikifika mambo yote yatakuwa sawa. Achana na fikra za kwenda kwa waganga, kwani waganga wa jadi wana shida nzito balaa kuanzia shida ya kipesa, stress za kuishi na mashetani/majini, wanafikiria pia nini itakuwa hatma yao pale watakapokufa. yaani kama wataka kuongeza matatizo na msongo wa mawazo jaribu kwenda kwa waganga wa jadi.

Utaishia kutembea na mganga, na hivi umesema uliolewa ukiwa bikra, haha ha ha ha ukienda kwa mganga wa kiume afu aone issue bado inalipa ipo tight, sikufichi utaishia kubeba mimba ya mganga wa jadi.

Tafadhali usinielewe vibaya, The point I am trying to stress here is that don't dare to go to these witch doctors! you will be ripped off then left disappointed!

Chamsingi ni kuendelea na Ibada na ninaamini Mungu atajibu maombi yako siku moja.
 
Mbona miaka 2 michache sana jamani kwa mtu kukata tamaa, utapata tu mpendwa ondoa wasiwasi!
 
Niliwahi kusikia inaweza kutokea ''very rear case' wawili hata wafanyeje(kitaalamu) unless miujiza ya Mungu hawataweza kuzaa lakini kila mmoja aki-divert kwa mtu mwingine atafanikiwa kupata mtoto.

Ni tatizo ambalo kila yai linapokutana na mbegu hufa, hivyo muhimu kumwona specialist aliyebobea.

Nakumbuka kama mwezi na nusu kusoma habari kwenye gazeti la guardian kuhusu wanandoa mtoto wao alishindikana kutibiwa Tanzania ila kuna bingwa india alifatilia historia ya genes za wawili hao hivyo kupata suluhu na kumtibu mtoto.
 
Nipo kwenye ndoa miaka 2 had sasa cjawah kushka ujauzto. Nmepma vpmo vyote mie na mume wangu hatuna tatzo. Naenda mwezini kama kawaida. Sjawah kutoa mimba wala kutumia njia yoyote kuzuia mimba. Nimekunywa dawa na kuonana na madaktar bingwa wa magonjwa ya wanawake naambiwa sina tatizo. Mume wangu naye hanatatzo. Huyu ni mwanaume wangu alyentoa uschana na amenioa cjawah kuwa na mwanaume mwngne. Cjawah kuugua gonjwa lolote la gono. Nipo makini na vyakula ninavyokula. Nisaidien mwenzenu kwan nmechanganykiwa kwan toka mwez january mwaka huu cjaona hata kamas za sevks. Cjui nmerogwa? Nataman niende kwa jad ila naogopa. Tatzo hili ni nin?

Mpendwa,

Bahati mbaya hujasema uchunguzi uliofanyiwa ni wa aina gani na ulihusisha vipimo gani. tatizo la kutoshika mimba linaweza kusababishwa na mambo mengi yakiwemo ya kimaumbile kama hormonal imbalance na hata genetics, ambyayo ukifanya vipimo vya kawaida hakutaonekana tatizo. ni vizuri mkapima pia damu zenu (kama bado hamjafanya hivyo) ili kuainisha vizalia (genes) vyenu, blood proteins na hormonal levels/balance.

Uchunguzi wa mwanzo unaweza kujifanyia mwenyewe kwa kuuchunguza mzunguko wako wa hedhi kama ni regular au irreglar. mara nyingi tatizo la hormonal imbalance huambatana na irregular menstruation circle na timming kati ya peak periods and uterus thickness. kukiwa na mismatch ya hivi vitu, utaweza kushika mimba lakini ikafa baada ya muda mfupi na itakapotoka wewe utadhani ni hedhi kumbe ni miscarriage. kwa kweli naona unahitaji uchunguzi wa kina sana na unaohusisha mambo mengi kwa mapana sana

Kama mchangiaji mmoja (bei mbaya) alivyosema hapo juu, inawezekana kabisa kushindikana mimba kwa baadhi ya couples japo hakuna tatizo lolote bali kwa sababu za viasili vya kimaumbile tu, ila hii ni very rare case! so inahitaji uchunguzi wa kina sana kabla ya kuprove hivvyo.

Hata hivyo, jipe moyo, ondoa wasiwasi na ongeza bidii ya maombi, na Mungu wetu ni mwema na mkarimu sana lazima atajibu maombi yako.

Ubarikiwe sana mpendwa.
 
Hili ni tatizo sugu sasa hivi hapa mjini. Kupata mimba inakuwa ngumu kweli kweli. Ila kule shamba kila mwaka na mtoto wake. Sijui ni ninini hasa tatizo. Hata hivyo, mama usijari inshallah utapata mtoto.
 
Let do thz, funga safari uko uliko hadi pale arusha mjn kuna hospital inaitwa St. Thomas muulizie Dr. Msuya, ni specialist wa iyo mambo yakike, shemeji alikaa muda alipofka 2 mambo ikawa poa.
 
Pigeni style ya chuma mboga, hakikisha jamaaa anamwaga mbegu ndaaaniii. Kama vp zifike mpaka mdomoni.
 
Pole my dear, kama wote wazima labda timing mnakosea. Jitahidi kujua siku zako za ovulation na vile vile labda ute uliokuwa nao ni mkavu hivyo unaweza kuzuia mbegu kufika kwenye mirija.

Unaweza kutafuta Evening primrose oil, hii supplements huwa inasaidia kuweka ute kuwa mlaini ili mbegu zisafiri vizuri kufikia mirija. Vile vile punguza mawazo acha kabisa kuwaza kuhusu mtoto ipo siku utastukia una mimba na jitahidi sana kumuomba Mungu akupe haja ya moyo wako.
 
Bahati mbaya hujasema uchunguzi uliofanyiwa ni wa aina gani na ulihusisha vipimo gani. tatizo la kutoshika mimba linaweza kusababishwa na mambo mengi yakiwemo ya kimaumbile kama hormonal imbalance na hata genetics, ambyayo ukifanya vipimo vya kawaida hakutaonekana tatizo. ni vizuri mkapima pia damu zenu (kama bado hamjafanya hivyo) ili kuainisha vizalia(genes) vyenu, blood proteins na hormonal levels/balance.

Inawezekana kabisa kushindikana mimba kwa baadhi ya couples japo hakuna tatizo lolote bali kwa sababu za viasili vya kimaumbile tu
, ila hii ni very rare case! so inahitaji uchunguzi wa kina sana kabla ya kuprove hivvyo.

Miss Jud,

There you are, afanye hivyo.
 
Mwambie mzee ashambulie dakika 90 mfululizo sio anashambulia wiki moja halafu wiki moja analala. ashambulie period mpaka period. Popote akikuona tu akurukie, jikoni, toilet, garden, juu ya magunia ya kolosho, darini, uvunguni, nakazalika. Kama haujapata mimba ndani ya mwezi mmoja basi nachana vyeti vyangu vyote vya mzumbe.

NB: Siku za kupata ujauzito ni chache katika mwezi kama mume ni legelege anashambulia na kupumzika anaweza akawa anazimiss kila mwezi.

Nimemaliza
 
Back
Top Bottom