Dawa za Meno zinadaiwa kuwa na viini vya kupunguza IQ

Serikali za Africa kwa dhamina na uelewa, kwa nguvu zote wekezeni katika matumizi ya maliasili zetu. Vinginevyo kutegemea chanjo, dawa, nk kutoka kwa wajanja vitaendelea kutufanya watumwa kwa wageni na vizazi vyetu vyote kama vitakuwepo.

=======

Hizo dawa kama kweli zinaounguza IQ zinapunguza kwa wote maana hata wao wanazitumia. Fluoride wanasema ni hatari pia na muda mrefu tu.
Hivyo isiwe kwamba wametengenesa tutumie sisi ila ni kwamba hata wao wanatumia wala hawajatulenga sisi.
La msingi tutumie vitu vya asili ila kufa ni kufa tu ukijilinda dhidi ya ukimwi wafa kwa ajali usipokufa kwa ajali wafa kwa malaria.
 
Unapashwa kwanza kujua kwa nini waafrica wanabaguliwa karibu duniani kote. Kama hilo hulijui, itakuwa vigumu kukuelewesha kwa nini asiyekutaka angetamani upotee.
Tunabaguliwa kwasababu tumeshindwa kujenga kwetu mpaka leo TZ ni zaidi ya miaka 50 ya uhuru ila bado tunasema hatuna maendeleo kisa tulitawaliwa.
Tunasahau China imetawaliwa, kuna cnhi zilikuwa na uchumi duni kama Singapore ila leo zimesonga.
If you live in the past the future will never find you.
Hata katika familia, ukiwa una uchumi duni utadharauliwa tu na karibia ukoo mzima.
 
Unapashwa kwanza kujua kwa nini waafrica wanabaguliwa karibu duniani kote. Kama hilo hulijui, itakuwa vigumu kukuelewesha kwa nini asiyekutaka angetamani upotee.
Waache kuhangaika na mchina huko ambae ni threat kwao wahangaike na mtu mweusi ambae hata kwa population sidhani kama anawafikia wachina.

Swala la ubaguzi lipo kila sehemu hata hapa bongo tunabaguana iwe kikabila, kikanda au kipato.

Wew jibu swali waafrika wamalizwe kwa nini?

Mbna wahadzabe au ndugu zetu vijijini huko hawapigi hata mswaki ila hawana hiyo IQ unayosema tunapungiziwa na wazungu?
 
Kama serikali zinamikataba ya utegemezi kutoka kwa hawa watu wasio na utu, sisi wananchi tuchukue hatua za kususia matumizi ya bidhaa ambazo tuna mbadala wake tayari. Wakikosa soko, hawataziingiza tena labda waweke sheria inayozuia watu kutumia mimea.

Mara nyingi tumesikia vitu vingi sana vina madhara kwa binadamu tena si kwa bahati mbaya:-

1) Misaada ya kujengewa miradi na china = Ufisadi wenye lengo la kumilikishana Ardhi za nchi maskini kuwa himaya ya china.
2) Condom za kuzuia HIV & Uzazi wa mpango = Zina virusi vya ukimwi ili kuwamaliza Waafrika.
3) Vidonge vya uzazi wa mpango = vinawa sterilize wanawake wasishike ujauzito ili baadaye Africa ibaki bila watu.
4) Brazier za wamama kutoka nje = Zina vigoroli vimefichwa kwenye hems vinavyohusishwa na cancer za matiti.
5) Chanjo za korona = hazijafanyiwa majaribio kwa wanyama na hivyo zinajaribiwa kwa watu lakini zinaongeza maambukizi ya korona, zinaleta virusi vya ukimwi, zinaua, zinakwend kuathiri utu wa mtu na haijulikani baada ya kuathirika huko kama watazaliwa binadamu wa kawaida tena.
6)
nimechoka kwa sababu niavyoandika nachukia na mimi sitaki kuchukia.

NI wakati muafaka wa Waafrica kukataa kutawaliwa na kufanywa watumwa mamboleo.
namba 1 ni bomu na litakuja kulipuka miaka ijayo.
 
namba 1 ni bomu na litakuja kulipuka miaka ijayo.
Ni jambo la ajabu watu hapa wanapiga kelele bila hata kufanya utafiti. Kuna nchi moja ndogo sitaki kuitaja, (siyo Africa) walikimbilia ujenzi wa miundo mbinu kwa wachina, na wakaweka rehani Ardhi. China wakawekeza ipasavyo, na baada ya kushindwa kukidhi mikataba, wachina wameenda mahakama z akidunia kudai uhalali wa kumiliki ardhi kubwa kuliko inayosalia ndani ya ile nchi. Na sasa wanahaha lakini wachina wahachukua na wanatiririka kwenda kwenye ardhi zao katika iynchi ile. Mikataba iko dhahiri. Soon mtasikia itakuwa kwenye public. Na bahati mbaya wanapewa maeneo ya kimkakati. Bagamoyo ni eneo lenye rutuba na lina mlango wa bahari. kusini mwanchi kuna utajiri mwingi wa madini na nishati, yote wanapewa wachina.
Watu wanaoshabikia ujinga huu kwa kukosa ufahamu, bila shaka watabeba hukumu kubwa kutoka kwa Mungu pale watoto wetu watakapokuwa wapangaji na watumishi wa wachina katika Ardhi iliyokuwa yao. Ni mambo mengi sana yastahili kuangaliwa kwa umakini. Bahata mbaya, nchi yetu haina bunge.
 
Ni jambo la ajabu watu hapa wanapiga kelele bila hata kufanya utafiti. Kuna nchi moja ndogo sitaki kuitaja, (siyo Africa) walikimbilia ujenzi wa miundo mbinu kwa wachina, na wakaweka rehani Ardhi. China wakawekeza ipasavyo, na baada ya kushindwa kukidhi mikataba, wachina wameenda mahakama z akidunia kudai uhalali wa kumiliki ardhi kubwa kuliko inayosalia ndani ya ile nchi. Na sasa wanahaha lakini wachina wahachukua na wanatiririka kwenda kwenye ardhi zao katika iynchi ile. Mikataba iko dhahiri. Soon mtasikia itakuwa kwenye public. Na bahati mbaya wanapewa maeneo ya kimkakati. Bagamoyo ni eneo lenye rutuba na lina mlango wa bahari. kusini mwanchi kuna utajiri mwingi wa madini na nishati, yote wanapewa wachina.
Watu wanaoshabikia ujinga huu kwa kukosa ufahamu, bila shaka watabeba hukumu kubwa kutoka kwa Mungu pale watoto wetu watakapokuwa wapangaji na watumishi wa wachina katika Ardhi iliyokuwa yao. Ni mambo mengi sana yastahili kuangaliwa kwa umakini. Bahata mbaya, nchi yetu haina bunge.
inatosha kuendelea mkuu, inaumiza kuona wachina wameanza kujipenyeza katika sekta ya madini na barabara kujengwa chini ya kiwango.
 
Kama huna utafiti usinijibu. Kama unana ni uzushi leta takwimu zako za ukweli. Vinginevyo kaa mbali na maandiko yangu. Huu siyo muda wa kufanya ujinga!.
Mbona unatokwa povu mzebaba, hutaki kupingwa?? Hayo maandiko umeyaweka jf ili yaonwe na yajadiliwe kwa kila mtu anavoona inafaa. Na hapo nilikua namjibu jamaa jiwe angavu au ni wewe una id mbili mkuu??
Everything toomuch is harmfull, endeeleni kulishana matangopori ya kua eti wazungu wana lengo la kuwapunguza, tumia kila kitu kwa kiasi na kama inavoshairiwa na wataalamu sio mnaleta mitazamo yenu mnataka muaminiwe kwa lazima.
 
Serikali za Africa kwa dhamina na uelewa, kwa nguvu zote wekezeni katika matumizi ya maliasili zetu. Vinginevyo kutegemea chanjo, dawa, nk kutoka kwa wajanja vitaendelea kutufanya watumwa kwa wageni na vizazi vyetu vyote kama vitakuwepo.

=======

Dada FaizaFoxy uliwahi Kunambia kuwa unatumia mswaki wa mti ila dawa sijui ni ipi, je unaweza kuelezea zaidi swala hili.
 
Je, maji yapi ni salama kunywa? Watu wengine wanahisi maji ya bomba ni sawa na hawawezi kufikiria kutumia pesa za ziada kwenye maji ya chupa. Kinyume chake, wengine wanafikiri maji ya chupa ni mbadala salama, safi zaidi ya maji ya bomba au maji ya kisima, kwa hivyo wako tayari kulipa.

Maji ya chupa ndio chaguo bora licha ya gharama iliyoongezwa? Au ni uuzaji wa ujanja tu kwa upande wa kampuni za maji ya chupa?

Je, Maji ya Bomba ni Salama Kunywa?
Hapana, kwa sababu zifuatazo:-

1. “uchafuzi” uchafu ni “kitu chochote cha kimwili, kemikali, kibayolojia, au radiolojia au jambo” linalopatikana katika maji ya kunywa. Kwa maneno mengine, “chochote isipokuwa molekuli za maji” ni uchafuzi wa maji ya bomba. baadhi ya vichafuzi ni salama katika viwango fulani. Vichafuzi vya kawaida vya kemikali ambavyo vinaweza kuingia kwenye maji ya bomba ni pamoja na dawa za kuulia wadudu, maji ya viwandani, na metali zenye sumu kama vile risasi, zebaki na arseniki . Vichafuzi vya kibiolojia ni vitu kama bakteria, virusi, na vimelea. Vichafuzi vya radiolojia vinaweza kutoka kwa amana za asili za urani au radiamu ardhini na taka za nyuklia zinazotengenezwa na binadamu. Vichafuzi hivi vyote vinaweza kuingia katika maji yetu ya kunywa kutoka vyanzo mbalimbali. Kwa mfano, baadhi ya kemikali na metali nzito (heavy metal) hutokea kwa kawaida ardhini na mvua inaweza kufagia bakteria na dawa za kuulia wadudu kutoka kwa maeneo ya kilimo hadi kwenye usambazaji wetu wa maji.

2. Chemical zinazotumika katika matibabu ya maji chlorine na fluoride si salama sana kiafya kupelekea maji kuwa na radha na harufu inayochukiza lakini hiz zikizidi zinaweza kusababisha madhara yafuatayo:-

Ø Cancer za aina tofauti kama koo,kibofu, matiti.

Ø Madhara katika moyo na ubongo kwa watoto ambao hawajazaliwa.

Ø Kupunguza Kiwango cha uzalishaji kwa wanaume

Ø Matatizo ya akili na ubongo.

Ø Alzheimer na dementia(matatizo ya kusahau) wakati wa uzeeni.

Je, Maji ya Chupa Ndio Jibu?

Kwa kuzingatia hatari zinazoweza kutokea za maji ya bomba, watu wengine wamegeukia maji ya chupa. Lakini hii ni kweli chaguo bora kwa maji ya kunywa?

Jibu ni hapana. Kulingana na Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC), hakuna ushahidi mgumu kwamba maji ya chupa ni salama kuliko maji ya bomba. Maji ya chupa za kibiashara bado yana uwezo wa kuchafuliwa wakati wa kutafuta na katika mchakato wa uwekaji chupa.

Unaweza kushangaa kujua maji ya chupa yanatoka wapi. Lebo inaweza kuwa na picha ya mandhari tulivu ya mlima, lakini maji ndani yanaweza kutoka kwa “ usambazaji wa maji wa ndani “ unaojaribu kuepuka. Kwa maneno mengine, maji yamepitia kituo sawa cha kutibu maji kama maji yako ya bomba. Tofauti pekee ni kwamba toleo la chupa wakati mwingine huja kwa gharama kubwa zaidi.

Je lipi ni suluhisho sahihi ?

Kwa Maji ya Nyumbani, kuna suluhisho la (water purifier) chujio la maji kwa kila bajeti na mtindo wa maisha. Kwa kuchuja maji, unaweza kuwa na manufaa yote ya kiafya ya utumiaji maji bila wasiwasi wa uchafuzi kwa njia ya gharama nafuu na rafiki wa mazingira. Aina hii ya matibabu ya maji inaweza kutumika kama kizuizi kati yako na vitu vyenye madhara ambavyo vinaweza kupatikana kwenye usambazaji wa maji.

Wasiliana wataalamu wa kufunga na kurekebisha chujio la maji majumbani kwa gharama nafuu.

Whatsapp number:+255758404554

E-mail:Jacobmj33@outlook.com

Au Dm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom