Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Ivi hawa wanaotengeneza izi dawa lengo lao tuwe tunatumia kila mwezi kama sio quarterly.
Maana dawa za siku izi kila leo zatangazwa which looks like wako kibiashara zaidi.
Kuna watu mpaka kloroquine mpaka leo inawataibu ila wakijaribu izi dawa zinazotangazwa kila leo MSETO and the like hawaponi.
Na kuna tetesi kila waziri wa afya anakuja na dawa yake ikiashiria gawio kwenye mauzo ya izo dawa.
Naomba yeyote anayezifahamu dawa za kienyeji za maralia pls let me know nataka achana rasmi na izi dawa za kisasa hasa Duo Cotexin ambayo nimetoka maliza kunywa week 2 sasa kupima maralia bado ipo.
I call upon the government msilete siasa when it comes to the health of your people.
Mnajua fika huu ugonjwa ni namba one killer
Maana dawa za siku izi kila leo zatangazwa which looks like wako kibiashara zaidi.
Kuna watu mpaka kloroquine mpaka leo inawataibu ila wakijaribu izi dawa zinazotangazwa kila leo MSETO and the like hawaponi.
Na kuna tetesi kila waziri wa afya anakuja na dawa yake ikiashiria gawio kwenye mauzo ya izo dawa.
Naomba yeyote anayezifahamu dawa za kienyeji za maralia pls let me know nataka achana rasmi na izi dawa za kisasa hasa Duo Cotexin ambayo nimetoka maliza kunywa week 2 sasa kupima maralia bado ipo.
I call upon the government msilete siasa when it comes to the health of your people.
Mnajua fika huu ugonjwa ni namba one killer