Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
DAWA ZA KUTEREMSHA HEDHI.
Ikiwa hedhi imezuilika kwa kufikia umri wa kumaliza au ni kwasababu ya mimba, inafahamika lakini ikiwa si kwasababu mbili hizo basi hufanyiwa dawa na kuirudisha hedhi.
1. Kunywa chai ya mdalasini.
2. Mvuje ukinywewa pamoja na pilipilimanga huteremsha hedhi iliyo fungwa katika uzai au mapito yake.
3. Manemane ikipondwa na ukinywa siku tatu asubuhi kabla ya kula chakula
4. Kitunguu Thoum na maganda yake huteremsha hedhi
5. Kunywa maji yaliyochemsha na zaatari.
Ikiwa hedhi imezuilika kwa kufikia umri wa kumaliza au ni kwasababu ya mimba, inafahamika lakini ikiwa si kwasababu mbili hizo basi hufanyiwa dawa na kuirudisha hedhi.
1. Kunywa chai ya mdalasini.
2. Mvuje ukinywewa pamoja na pilipilimanga huteremsha hedhi iliyo fungwa katika uzai au mapito yake.
3. Manemane ikipondwa na ukinywa siku tatu asubuhi kabla ya kula chakula
4. Kitunguu Thoum na maganda yake huteremsha hedhi
5. Kunywa maji yaliyochemsha na zaatari.