Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok.. Vp lakini ww umewah kutumia, kama umewahi kuitumia naomba share na experience yako..Paxil ni nzuri Poleni sana Graduates mliokaa mwaka wa nne sasa mnatafuta dawa za depression
Onyo:
Some young people have thoughts about
suicide when first taking an antidepressant.
Stay alert to changes in your mood or
symptoms.
Kuna wakat ni lazma uwe unafanya shughul zako mwenyew, si wakat wote utakuw ukijichanganya na watuTiba dhidi ya msongo wa mawazo ni jiepushe na upweke, jaribu kujichanganya na watu wengine katika jamii inayokuzunguka. Au shiriki katika vikundi vya jamii kama michezo, mazoezi, kuimba au majadiliano yoyote.
Jitahidi sana kuuepuka upweke, madawa ya hospitali / ya kizungu ni hatari yatakufanya uwe tegemezi kwayo(adicted... sijui ndivyo inavyoandikwa?).
Habari wana jamii..
Kama una fahamu dawa zinazotumika kupunguza depression na msongo wa mawazo, Please naomba unifahamishe.
msongo wa mawazo ya aina gani wakuu..? tuanzie hapo kwanza, ntakupa njia za kiuchumi kumbe wewe umeegemea kwenya socially kama vile kutendwa etc. muwe specific please kama ni general pia muwe wazi.Hata me haitaji
Actually ni general, mambo mengi yanatingamsongo wa mawazo ya aina gani wakuu..? tuanzie hapo kwanza, ntakupa njia za kiuchumi kumbe wewe umeegemea kwenya socially kama vile kutendwa etc. muwe specific please kama ni general pia muwe wazi.
Paxil ni nzuri Poleni sana Graduates mliokaa mwaka wa nne sasa mnatafuta dawa za depression
Onyo:
Some young people have thoughts about
suicide when first taking an antidepressant.
Stay alert to changes in your mood or
symptoms.
mkuu kama ni general jitahidi kutafta kitu kitakachokufanya uwe bize.Actually ni general, mambo mengi yanatinga
Mkuu mbona hujatoa info za kujitosheleza?T fluoxetine 20 mg
Habari wana jamii..
Kama una fahamu dawa zinazotumika kupunguza depression na msongo wa mawazo, Please naomba unifahamishe.