Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
> Nani wapo nyuma ya uingizwaji huu wa Heroin nchini?
> Malipo yanafanyikaje? Nani mlipaji mkuu?
> Taarifa nilizo nazo zinaonyesha zinatumika boti toka Iran na Pakistani katika kuingiza ‘mzigo’ na zaidi mazao ya kilimo yanatumika kama cover ili kuwapoteza wenye mamlaka
> Huko Afrika Kusini, mataifa haya yanaingiza dawa na trading inafanywa kupitia biashara za Casino na Real Estate; hapa kwetu napata ugumu kuelewa nini wanafanya ili biashara ifanyike.
Kama una taarifa, tudokezane.
> Malipo yanafanyikaje? Nani mlipaji mkuu?
> Taarifa nilizo nazo zinaonyesha zinatumika boti toka Iran na Pakistani katika kuingiza ‘mzigo’ na zaidi mazao ya kilimo yanatumika kama cover ili kuwapoteza wenye mamlaka
> Huko Afrika Kusini, mataifa haya yanaingiza dawa na trading inafanywa kupitia biashara za Casino na Real Estate; hapa kwetu napata ugumu kuelewa nini wanafanya ili biashara ifanyike.
Kama una taarifa, tudokezane.