Kikosi kazi cha kupambana na dawa za kulevya kimekamata kilo 99 za dawa za kulevya aina ya heroin ambapo walizikamata alfajiri ya leo maeneo ya kinondoni,miongoni mwa waliokamatwa ni watanzania na pamoja na raia wa kigeni wa PAKISTAN,inasemekana dawa hizo zimeingia na BOTI
SOSI:MEJIKI Fm
SOSI:MEJIKI Fm