Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,899
Huwezi kupaelewa Marekani zaidi yangu, nnakuhakikishia hilo. Nimeishi huko, for your information, kwa mara ya kwanza nimekwenda USA 1975 ulikuwa na umri gani? Na kwa takriban miaka 20 sasa imekuwa ni kawaida yangu kwenda US si chini ya mara mbili kwa mwaka.
Nimekuuliza wewe ni kabila gani, kama tunaongelea asili za watu tukuelewe na wewe.
Mbona unajificha nyuma ya kivuli chako?
Kuishi, kwenda USA bado haibadili kuwa wahindi na waarabu ni tatizo kwa maendeleo ya Taifa letu la Tanzania .
Inawezekana nakushinda pia kuhusu kwenda marekani na kwingineko ambako wewe hujafika bado.
Ila ukweli, ni huu asili ya Hindi na Uarabuni ni tatizo kwa Taifa letu la Tanzania, kama huelewi na hili basi naona pana shida sana.