Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,502
- 6,403
Mbona chid benz haonekani?
Au ndio kapotezewa?
Kama wako sirias inatakiwa na yeye aonekane hapo
Au ndio kapotezewa?
Kama wako sirias inatakiwa na yeye aonekane hapo
Pale ndio maskani ya kina Babuu na Wakuvanga!!Inaposemwa vita hii ni kubwa!!Inamaanisha kuwa wakitajwa wahusika hasa,kuna makaburi ya zege yasiyofukuliwa.
Mbona inasemekana wema hayupo?zipi habari za kweli?HabariJF,
Wasanii akiwemo Tunda, Wema na Rachael na baadhi ya watu wanaoshikiliwa na kituo cha polisi kati kwa tuhuma ya dawa za kulevya wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
View attachment 468005
Watuhumiwa hao wameshushwa nyuma ya majengo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu huku baadhi ya wakijifunika nyuso zao kukwepa camera za mapaparazi...
SURA ZAO MUBASHARA WAKIWA HAWANA MIKOROGO WALA MAKE UPHabariJF,
Wasanii akiwemo Tunda, Wema na Rachael na baadhi ya watu wanaoshikiliwa na kituo cha polisi kati kwa tuhuma ya dawa za kulevya wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
View attachment 468005
Watuhumiwa hao wameshushwa nyuma ya majengo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu huku baadhi ya wakijifunika nyuso zao kukwepa camera za mapaparazi...
Mahakamani unaingia kichurachura? mmmh MUNGU anisaidie nisifanye kosa.Romyjons, babuu wa kitaa na dogo hamidu wakisubiri kuingia mahakamani
View attachment 468002
poleni malipo hapa hapa Duniani mmekula musivyovijuaViunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu vimesheheni wazazi,walezi,wapenzi,waandishi na mashabiki wa watuhumiwa wa madawa ya kulevya wanaotarajia kupandishwa kizimbani hivi punde.
Kati yao,yupo mlimbwende,msanii na Miss Tanzania wa zamani Wema Sepetu. Mawakili wamejitokeza kwa wingi na kwa ari kubwa. Ingawa nipo hapa kwa shughuli zangu binafsi,nitaarifu nitakachokipata. Taarifa zaidi zitafuata.
ĹMahakamani unaingia kichurachura? mmmh MUNGU anisaidie nisifanye kosa.
Mama zungumza na mwanao.
KADA
Viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu vimesheheni wazazi,walezi,wapenzi,waandishi na mashabiki wa watuhumiwa wa madawa ya kulevya wanaotarajia kupandishwa kizimbani hivi punde.
Kati yao,yupo mlimbwende,msanii na Miss Tanzania wa zamani Wema Sepetu. Mawakili wamejitokeza kwa wingi na kwa ari kubwa. Ingawa nipo hapa kwa shughuli zangu binafsi,nitaarifu nitakachokipata. Taarifa zaidi zitafuata.
lile ni pozi la kusubiriana mnaposhuka kwenye karandinga na mkionekana mnasura ngumu ndio mnapigwa pingu miguuni ila hao ndizi nyama wameachiwa tu maana wamejileta wenyewe.....ila sijaelewa huyo tozi hapo anakidani au hakulala ndani kaibuka kituoni asubuhi hii....Mahakamani unaingia kichurachura? mmmh MUNGU anisaidie nisifanye kosa.
sawa mkuu,tunasubiri mrejesho mubasharViunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu vimesheheni wazazi,walezi,wapenzi,waandishi na mashabiki wa watuhumiwa wa madawa ya kulevya wanaotarajia kupandishwa kizimbani hivi punde.
Kati yao,yupo mlimbwende,msanii na Miss Tanzania wa zamani Wema Sepetu. Mawakili wamejitokeza kwa wingi na kwa ari kubwa. Ingawa nipo hapa kwa shughuli zangu binafsi,nitaarifu nitakachokipata. Taarifa zaidi zitafuata.
Wema ana kesi zaidi ya mojaWapi wema?