inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 492
- 416
Wadau habari.
Naombeni msaada wa kitalaam wa kitabibu.Wife alikuwa katika siku zake za hatari nilipohesabu kalenda ilikuwa ni siku ya 14.Nikatumia condom maana tunapanga uzazi ile namaliza tendo nacheki kondom kumbe imepasuka na mbegu zimeishia humo humo.Ilikuwa ni saa 5 usiku.Kulipokucha nikawahi kununua emegency contraception pill inaitwa P2 akameza viwili kama nilivyoeolekezwa na Dr.
Je wadau itasaidia asishike ,na ntajuaje dawa imefanya kazi.
Kwa unyenyekevu mkubwa naomba msaada.
Naombeni msaada wa kitalaam wa kitabibu.Wife alikuwa katika siku zake za hatari nilipohesabu kalenda ilikuwa ni siku ya 14.Nikatumia condom maana tunapanga uzazi ile namaliza tendo nacheki kondom kumbe imepasuka na mbegu zimeishia humo humo.Ilikuwa ni saa 5 usiku.Kulipokucha nikawahi kununua emegency contraception pill inaitwa P2 akameza viwili kama nilivyoeolekezwa na Dr.
Je wadau itasaidia asishike ,na ntajuaje dawa imefanya kazi.
Kwa unyenyekevu mkubwa naomba msaada.