Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,330
- 10,750
Kuna hi Hali ya Madoctor na wanasayansi kukataza wanawake kuweka vitu vya kiasili ukeni. Huku kwenye mitandao ya kijamii kumekuwa na Matangazo Mengi sana.
Kuna mengine ya kusteam uke tukumia herbs, mengine ya kuweka unga wa mbegu za maembe kubana uke na mfanowe..na wengine wadai wanarudisha Bikra..
Mimi niliwafuata Hawa wauzaji na kuwauliza mbona haya Mambo wanasansi wanapingana nayo. Wakasema mbona wanasayansi hua wanatoa dawa za kupaka kwenye uke...na nyingine Zina vitu maalumu vya kuingizia ukeni hizo dawa.
Mbona Hawa wanasayansi Wanatoa dawa ambazo LAZIMA udumpukize kwenye uke..kwa vidole?..
Naomba kujua Je hizi Dawa za asili ninkweli Zinasababisha Cervical Cancer?
Na hizi za hospitali mfano ukiwa unawashwa uke kuna dawa unaiingiza kwa kifaa...Au pia na gynaecologist Kuna dawa huwa wanakuweka ndani ya uke kwa vidole...
Je, hizi hasisababishi CERVICAL CANCER?
Na douching Ni kwa kiasi gani in a madhara...Mimi douching huwa nafanyaga Mara Moja mpaka 3 kwa mwezi.
Nawasilisha
Kuna mengine ya kusteam uke tukumia herbs, mengine ya kuweka unga wa mbegu za maembe kubana uke na mfanowe..na wengine wadai wanarudisha Bikra..
Mimi niliwafuata Hawa wauzaji na kuwauliza mbona haya Mambo wanasansi wanapingana nayo. Wakasema mbona wanasayansi hua wanatoa dawa za kupaka kwenye uke...na nyingine Zina vitu maalumu vya kuingizia ukeni hizo dawa.
Mbona Hawa wanasayansi Wanatoa dawa ambazo LAZIMA udumpukize kwenye uke..kwa vidole?..
Naomba kujua Je hizi Dawa za asili ninkweli Zinasababisha Cervical Cancer?
Na hizi za hospitali mfano ukiwa unawashwa uke kuna dawa unaiingiza kwa kifaa...Au pia na gynaecologist Kuna dawa huwa wanakuweka ndani ya uke kwa vidole...
Je, hizi hasisababishi CERVICAL CANCER?
Na douching Ni kwa kiasi gani in a madhara...Mimi douching huwa nafanyaga Mara Moja mpaka 3 kwa mwezi.
Nawasilisha