Dotto Athumani
Senior Member
- Feb 11, 2012
- 106
- 23
- Thread starter
- #21
Hey, hey, hey... Wote sio watoto hapa..!!!:A S-frusty:.
Wake up..!! Wazungu wanatamani sana hili bara la Africa kutokana na rasilimali zake. Wanataka kuwamaliza hao, wachukue jumla jumla..
that's speculations....weka hoja yako ili tuamini maana tunazungumzia utafiti sio propaganda za kisiasa.