Dawa za ARVs zathibitika kuzuia maambukizi ya Virus Vya Ukimwi!!

Hey, hey, hey... Wote sio watoto hapa..!!!:A S-frusty:.

Wake up..!! Wazungu wanatamani sana hili bara la Africa kutokana na rasilimali zake. Wanataka kuwamaliza hao, wachukue jumla jumla..

that's speculations....weka hoja yako ili tuamini maana tunazungumzia utafiti sio propaganda za kisiasa.
 
Dotto Athumani huwa unaaminije habari?
Mf- emperical methord?
-imani,
-mazoea
-scientific methord, you have engaged fully in the reseach
 
aids.jpg.gif
Leon Bahati, Mwananchi - 11/02/2012
UTAFITI wa hivi karibuni uliofanywa katika Chuo Kikuu cha Tiba cha Johns Hopkins nchini Marekani, umegundua kuwa matumizi ya dawa za kurefusha maisha (ARV) yanaweza kuwafanya waathirika wa Virusi vya Ukimwi (VVU) kukutana kimwili na wapenzi wao bila kondomu, pasi kuwapa maambukizi.

Wakati wataalamu hao wakifikia hatua hiyo muhimu katika kupata jibu la janga hilo lililoitesa dunia kwa miongo kadhaa sasa, kuna taarifa njema pia za kugunduliwa kwa chanjo mpya ya Ukimwi.

Kwa upande wa utafiti wa ARV walioufanyiwa majaribio kwenye sehemu mbalimbali za dunia, umebaini kuwa mtu ambaye anatumia dawa za kurefusha maisha, anaweza kufanya tendo la ndoa bila ya kutumia kondomu na mtu ambaye hana Ukimwi na asimwambukize kwa asilimia 95.



Jamani hebu tuambieni vizuri mbona mnaturusha roho, dawa ipo au hamna mmh??:A S embarassed:
 
BBC world service,leo wamelaani kitendo cha baadhi ya shule tanzania kuwashonea waathirika wanafunzi sticker nyekundu kwenye mashati yao ili wajulikane kirahisi wasipewe kazi ngumu- hii imekaaje ni kweli???
 
Mwanafunzi wa Kibaha primary School,akiwa na sticker nyekundu-kuashiria kama ana ukimwi-hii naona is only possible in tanzania-
_59088346_dscn3287.jpg
 
Mimi naomba wafrika tuchukue tahadhari sana.Taasisi zipi katika nchi za kiafrika zilihusishwa?
 
Back
Top Bottom