dah! mbona maneno ya khanga tenaa ||| hawa jamaa still bado wanahasira kweli na tanzania although baadhi ya misemo ina mantiki fulani but there heart are still not clean at all<museveni+kagame>
Amesema uvivu wa Afrika dawa tunayo.Sijui dawa ni "fast tracking" ama "muungano wa waliotayari "....?..... mi sijui...Kweli CCM na Kikwete kaeni mkao wa kujitambua kuwa Tanzania tumezungukwa na maadui.reconciliation iliyofanywa na kenya ni kunusuru interest na wafanya biashara wake hapa TZtu.Haitoki rohoni hata kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.