REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,449
- 9,372
Ukiangalia jinsi wananchi waliojitoa mhanga kupoteza maisha yao, mali zao kupigania mageuzi halafu ghalfa mtu unasikia narudi CCM, inauma sana, ukiangalia Mh. Mbatia, Lipumba na Maalim Seif walivyoenda kunywa chai ikulu, halafu Mbatia anatoka hapo anaanza vitu vya ajabu kwa wapinzani wenzie, inatia hasira sana. Ukiangalia jinsi Zitto alivyom-snitch kigogo2014 inatia hasira sana.
Hawa watu dawa yao 2020 ni kuwapora viti vyote udiwani mpaka ubunge tuwape CCM tu halafu tuone je huo usaliti wao wataufanyia wapi, nani atawajali tena ikiwa wananchi washawapuuzia kiukweli inauma sana
Hawa watu dawa yao 2020 ni kuwapora viti vyote udiwani mpaka ubunge tuwape CCM tu halafu tuone je huo usaliti wao wataufanyia wapi, nani atawajali tena ikiwa wananchi washawapuuzia kiukweli inauma sana