Mwanasayansi mmoja, alifanikiwa kutengeneza robort ambalo lilikua na uwezo wa kugundua kama mtu anadanganya na linampiga kibao. Paaaaaah!! Tajiri mmoja aliekua anamiliki shule aliamua kulinunua ili kuwakomesha watoto watoro na wahongo shuleni kwake.
Kwanza aliamua kulijaribishia nyumbani kwake. Mda wa dinner, yeye, mtoto wao Johnny na mkewe.
Duh?
Kwanza aliamua kulijaribishia nyumbani kwake. Mda wa dinner, yeye, mtoto wao Johnny na mkewe.
BABA: Johnny jana ulikua wapi?
JOHNNY: nilienda shule baba. (KIBAO..Paaaah) nilikua kwa kina Mark.
BABA: Ulikua unafanya nini?
JOHNNY: Tulikua tuna fanya home work… Paaaaaaaah,, aahh Tulikua tunaangalia movie
BABA: Movie gani mbona hapa nyumbani zipo nyingi tu?
JOHNNY: Harry Potter… Paaaaahh, ahah Porn movies
BABA: (Hasira) Pumbavu, sie wakati wa umri kama wenu tulikua tunawaza masomo na.. …. Paaaaaah
JOHNNY: (Kicheko… kwi kwi kwi kwi..)
MAMA: We tabia gani kumcheka Baba yako? Paaaaah Kibao!
Duh?