Dawa ya Rost and EL hii hapa

Mantuntunu

Senior Member
Nov 1, 2010
137
16
Yaani hapa malalamiko yooote ya Watanzania chanzo ni hawa watu wawili, Utasema oooh ZK kapewa hela kuihujumu Chadema, Tanesco kuilipa Dowans Mabilioni, Richmond na mitambo yake mibovu, na mengine mengi haya chanzo ni hao watu wawili. Dawa yao ni Shaba tu! wakishaondoka hao basi mambo yatakuwa shwari manake hao ndio source ya matatizo yote ya watanzania. Yaani huyu El ndo anasikitisha kabisa yaani pamoja na Uzawa wake hawaonei huruma watanzania wanavyohangaika na maisha??? UNASIKITISHA SANA EL. Huyo mwingine tunaweza tukamwelewa kidogo kwani I dont think if he gives a damn about Tanzanian people! ("if you know what I mean")
 
shaba siyo suruhisho watakosa msamaha hata kwa Mungu, bali ni kuwaombea wabadirike, zile ela zote wawape watoto yatima, wasaidie ujezi wa shule , ukiwalisha shaba mali yao itafia ulaya, ila wasipobadilika tuwaombee arubadili wawe viziwi an vipofu mpaka kufa kwao
 
Yaani hapa malalamiko yooote ya Watanzania chanzo ni hawa watu wawili, Utasema oooh ZK kapewa hela kuihujumu Chadema, Tanesco kuilipa Dowans Mabilioni, Richmond na mitambo yake mibovu, na mengine mengi haya chanzo ni hao watu wawili. Dawa yao ni Shaba tu! wakishaondoka hao basi mambo yatakuwa shwari manake hao ndio source ya matatizo yote ya watanzania. Yaani huyu El ndo anasikitisha kabisa yaani pamoja na Uzawa wake hawaonei huruma watanzania wanavyohangaika na maisha??? UNASIKITISHA SANA EL. Huyo mwingine tunaweza tukamwelewa kidogo kwani I dont think if he gives a damn about Tanzanian people! ("if you know what I mean")

Naunga mkono hoja, na kama nitawezeshwa (sio kifedha) nipo tayari kutekeleza azma hii na kuacha legacy kwa vizazi vijavyo.
 
Yaani hapa malalamiko yooote ya Watanzania chanzo ni hawa watu wawili, Utasema oooh ZK kapewa hela kuihujumu Chadema, Tanesco kuilipa Dowans Mabilioni, Richmond na mitambo yake mibovu, na mengine mengi haya chanzo ni hao watu wawili. Dawa yao ni Shaba tu! wakishaondoka hao basi mambo yatakuwa shwari manake hao ndio source ya matatizo yote ya watanzania. Yaani huyu El ndo anasikitisha kabisa yaani pamoja na Uzawa wake hawaonei huruma watanzania wanavyohangaika na maisha??? UNASIKITISHA SANA EL. Huyo mwingine tunaweza tukamwelewa kidogo kwani I dont think if he gives a damn about Tanzanian people! ("if you know what I mean")
Ni naona Shaba ni kifo cha kichujaa sana mimi napendekeza wachinjwe kama kuku...
 
Dawa ni kuwachakachua akili hawa watu 2, waropoke siri zao zooote na warudishe kila sent kwa riba kubwa. Ila tukumbuke wapo wengi coz pekeyao hawawezi kufanya yote hayo.
 
Kwa mtu yeyote aliyesoma kitabu cha "the day of the jackal"? Kile kinachohusu upangaji wa mauaji ya Mtawala wa Ufaransa wa Miaka ile aliye itwa Charles de Gaulle
Tatizo hapa ni uthubutu wa mtu au watu kutekeleza hicho kitu. Nani amlambe shaba EL au RA?

Njia pekee ya kuwanyamazisha na kuwaadabisha watu hao ni kudai Katiba mpya (na kupelekea kupatikana kwa tume huru ya uchaguzi) ambayo kupatikana kwake itaondoa ukiritimba wa chama cha mapinduzi. CCM iking'oka, RA na EL hawataweza kuongoza nchi kwa remote control yao.
 
mbona hamchangii, hawa watu jamani tuwafanyeje, Umeme wao, majengo Tata wao Madini wao Vodacom wao, EPA wao Mistu ndio usiseme Mzee EL anamiliki hata vibaaa pale peace mwananyamala jamaa hatosheki uwa akija hata kupiga ka raundi hakuna
 
Strong opposition may hold them responsible, jambo ambalo wameshalitambua na wanalifanyia kazi kwa kuhakikisha kuwa wanaweka watu wao ndani ya vyama ili kuziba midomo na kuleta vurugu kama ambavyo tunashuhudia ndani ya CHADEMA wakati huu.
 
Wako wapi wale mabingwa wa kujitoa muhanga? Wanabaki kujitoa muhanga tu kwenye mikusanyiko ya akina mama na watoto wanashindwa kuja kujitoa muhanga kwa akina EL na RA? Hata kwa Mkwere pia anaudhi huyo naye!!! Sijui naye yumo kwenye hizo mali zote hizo?
 
Strong opposition may hold them responsible, jambo ambalo wameshalitambua na wanalifanyia kazi kwa kuhakikisha kuwa wanaweka watu wao ndani ya vyama ili kuziba midomo na kuleta vurugu kama ambavyo tunashuhudia ndani ya CHADEMA wakati huu.
u said it all..they will ensure no one holds them responsible as they own all legal organs..however the duo aren't the sole source of our problems..there r so many things these r just few
 
Yaani hapa malalamiko yooote ya Watanzania chanzo ni hawa watu wawili, Utasema oooh ZK kapewa hela kuihujumu Chadema, Tanesco kuilipa Dowans Mabilioni, Richmond na mitambo yake mibovu, na mengine mengi haya chanzo ni hao watu wawili. Dawa yao ni Shaba tu! wakishaondoka hao basi mambo yatakuwa shwari manake hao ndio source ya matatizo yote ya watanzania. Yaani huyu El ndo anasikitisha kabisa yaani pamoja na Uzawa wake hawaonei huruma watanzania wanavyohangaika na maisha??? UNASIKITISHA SANA EL. Huyo mwingine tunaweza tukamwelewa kidogo kwani I dont think if he gives a damn about Tanzanian people! ("if you know what I mean")

Huu mbona ni utani wa mwaka - yaani unataka kusema kuwa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete

  • Raisi wa taifa lililo huru
  • Mkuu wa dola na serikali
  • Jemadari Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi na usalama
  • Mwenyekiti wa chama tawala - CCM
  • Mwenye uwezo wa kutangaza hali ya hatari
  • Anayetekeleza majukumu yake akilindwa na katiba
  • Aliyeapa kuwa atailinda na kuitetea hiyo katiba
  • Asiyeweza kushtakiwa kwa kutekeleza hayo majukumu kikatiba
  • Asiyeweza kuondolewa madarakani hadi theluthi mbili ya wabunge wakose imani naye
Yaani Mantuntunu, unataka tuamini kuwa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete ameshindwa kuwashughulikia hao watu wawili ! Hivi Watanzania tuna akili ? Jamani, eti Raisi hajui Kagoda ni nani, hajui Dowans ni nani, hajui kwa nini Tanzania ni masikini, hajui, hajui hajui...lakini azidi kupeta, only in Tanzania ! Well kwangu,the buck stops with the President, period.
 
Huu mbona ni utani wa mwaka - yaani unataka kusema kuwa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete

  • Raisi wa taifa lililo huru
  • Mkuu wa dola na serikali
  • Jemadari Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi na usalama
  • Mwenyekiti wa chama tawala - CCM
  • Mwenye uwezo wa kutangaza hali ya hatari
  • Anayetekeleza majukumu yake akilindwa na katiba
  • Aliyeapa kuwa atailinda na kuitetea hiyo katiba
  • Asiyeweza kushtakiwa kwa kutekeleza hayo majukumu kikatiba
  • Asiyeweza kuondolewa madarakani hadi theluthi mbili ya wabunge wakose imani naye
Yaani Mantuntunu, unataka tuamini kuwa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete ameshindwa kuwashughulikia hao watu wawili ! Hivi Watanzania tuna akili ? Jamani, eti Raisi hajui Kagoda ni nani, hajui Dowans ni nani, hajui kwa nini Tanzania ni masikini, hajui, hajui hajui...lakini azidi kupeta, only in Tanzania ! Well kwangu,the buck stops with the President, period.

Huwa nashindwa kuelewa watanzania wana fikra zipi hapa duniani.
Inawezekana ni kweli binadamu wa kwanza alikuwa mtanzania.watanzania ni watu wenye utofauti mkubwa sana na binadamu wengine.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom