Mantuntunu
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 137
- 16
Yaani hapa malalamiko yooote ya Watanzania chanzo ni hawa watu wawili, Utasema oooh ZK kapewa hela kuihujumu Chadema, Tanesco kuilipa Dowans Mabilioni, Richmond na mitambo yake mibovu, na mengine mengi haya chanzo ni hao watu wawili. Dawa yao ni Shaba tu! wakishaondoka hao basi mambo yatakuwa shwari manake hao ndio source ya matatizo yote ya watanzania. Yaani huyu El ndo anasikitisha kabisa yaani pamoja na Uzawa wake hawaonei huruma watanzania wanavyohangaika na maisha??? UNASIKITISHA SANA EL. Huyo mwingine tunaweza tukamwelewa kidogo kwani I dont think if he gives a damn about Tanzanian people! ("if you know what I mean")