Itchy skin (muwasho)

Maundumula

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
7,553
3,070
Habari wandugu,

Jamani jana kuanzia jioni jioni nilianza kujisikia muwasho kwenye ngozi, na ilipofika usiku it got worse nikikuna inatoka uvimbe uvimbe nikachukua baby powder nikajipaka kwenye muwasho baadae muwasho ukaisha nikapata usingizi (Not sure kama ilisaidia nadhani iliisha tu yenyewe) na leo nipo job my legs are still itching.

Najaribu haraka haraka kuangalia chanzo sioni chochote kwa karibu labda tu last weekend (sunday)niliogelea kwenye swimming pool. Je hiki kinaweza kuwa chanzo na possibilities ni nini hapa ? wengine wamenishauri nijaribu calamine lotion je itasaidia?

Plz help
 
Kuwashwa na kutoka wheals ina maana umepata uticarial rashes. Huja kama una minyoo au kama umekula kitu ambacho una allergy nacho. Kama ingekuwa ni sababu ya kuogelea, muwasho ungeanza pronto.

Mara nyingine ukuwa hivyo, tumia antihistamin kama Chlopheniramine au Cetrizine. Lakini just for the sake of safety, check stool for worms.
 
Thank you doctorz, ngoja nisikilizie leo hali ipoje kwanza.Kesho asubuhi nikiona vipi nijaribu dawa za over the counter ikiendelea nimuone Derm.
 
Habari GT,
nina ndugu yangu ana tatizo la kuwashwa mili mzima kila anapotoka kuoga ama akanyeshewa na mvua kisha akavua nguo alizonyeshewa kwa takribani miaka 15 sasa na hajawahi kwenda hospitali. Nini chanzo cha tatizo hilo/ nini dawa yake?
 
habari za asubuh wapendwa natumai mpo pouwaaa naombeni mnisaidiee dawa ya kuondoaa muwasho kwenye mwili manake tangu jana mwili mzimaa unawasha alafu sijui nitumiee dawaa gani,naombeni mnisaidie......
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Tafuta chanzo cha huo muwasho wako mkuu, jaribu kutumia cetrizen huenda ni alerge"
 
Tumia udongo wetu wa Aunt Zainab's Natural Super Clay.

Guaranteed muwasho unaondoka baada ya dakika kumi za mwanzo tu kwa mara ya kwanza.

Kama upon Dar pigs 0715448841 kama upo nje ya Dar pigs 0625249605.
 
habari za asubuh wapendwa natumai mpo pouwaaa naombeni mnisaidiee dawa ya kuondoaa muwasho kwenye mwili manake tangu jana mwili mzimaa unawasha alafu sijui nitumiee dawaa gani,naombeni mnisaidie......
Pole sana ,naamini unaendelea vizuri,ujitahidi kwenda hospitali utapata tiba sahihi,huenda ni aleji ..mzio unaotokana na chakula au vitu vinavyokuzunguka,au minyoo ila hospitali wanayo namna ya kufahamu na kukupa dawa sahihi na ya kumaliza /kuponya
 
Back
Top Bottom