Dawa ya mshipa (tezi)

Crucial Man

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
3,404
1,307
Wakuu heshima kwenu jamii Dr,
Naomba mnisaidie as per the subject. Baba yangu mzazi ana umri wa miaka 78 anasumbuliwa sana akienda haja ndogo, anaweza akasimama nusu saa mkojo ukatoka kidoogoo.

Nimejaribu kuwauliza waungwana mbalimbali wameniambia that's mshipa au tezi dume. Kwakuwa mzee yupo kijijini na mimi nipo nae mbali kidoogo, naomba Wana jf doctor mnisaidie kama kuna dawa naweza kumnunulia kupoza au kumaliza kabisa hili tatizo wakati tunajiandaa kumpeleka hospitali kubwa for better treatments.

Asanteni.
 
wakuu heshima kwenu jamii Dr,naomba mnisaidie as per the subject.
Baba Yangu mzazi ana umri wa miaka 78 anasumbuliwa sana akienda ndogo,anaweza akasimama nusu Saa mkojo ukatoka kidoogoo.
Nimejaribu kuwauliza waungwana mbali mbali wameniambia that's mshipa Aka tezi dume,kwa kuwa mzee yupo kijijini na mimi nipo nae mbali kidoogo,naomba Wana jf doctors mnisaidie Kama kuna dawa naweza kumnunulia kupoza au kumaliza Kabisa hili tatizo,wakati tunajiandaa kumpeleka hospitali Kulwa for better treatments .
Asanteni.
Please soma hiyo article utapata mwanga! Nimeitoa humu JF. Pole aging population ndiyo shida yetu!
 

Attachments

  • Tezi Dume.doc
    66.5 KB · Views: 292
Yes, this was an article by the same person you have called to intervene
Have gone through the article ,to be honest I fact have seen some lights at the end of the turnel ..Asante sana mkuu that's why I brought the issue here,jf hakishindikani kitu.
Thanks a lot
 
Have gone through the article ,to be honest I fact have seen some lights at the end of the turnel ..Asante sana mkuu that's why I brought the issue here,jf hakishindikani kitu.
Thanks a lot
True, hapa hakishindiki kitu! Bado madaktari watakuja na jibu sahihi!
 
Wakuu heshima kwenu jamii Dr,
Naomba mnisaidie as per the subject. Baba yangu mzazi ana umri wa miaka 78 anasumbuliwa sana akienda haja ndogo, anaweza akasimama nusu saa mkojo ukatoka kidoogoo.

Nimejaribu kuwauliza waungwana mbalimbali wameniambia that's mshipa au tezi dume. Kwakuwa mzee yupo kijijini na mimi nipo nae mbali kidoogo, naomba Wana jf doctor mnisaidie kama kuna dawa naweza kumnunulia kupoza au kumaliza kabisa hili tatizo wakati tunajiandaa kumpeleka hospitali kubwa for better treatments.

Asanteni.
MATATIZO YA MKOJO: UCHAFU kutoka mwilini hutolewa nje ya mwili kwa mfumo wa mkojo, kinyesi, jasho kupitia kwenye ngozi. Ikiwa kutatokea kizuizi chochote cha kuzuia uchafu kutoka mwilini sumu ya uchafu huu baadae huchanganyikana na damu na kusababisha maradhi mbalimbali.Figo ni kiungo ambacho hutoa sumu mwilini kupitia njia ya mkojo. VIJIWE VYA KIBOFU CHA MKOJO (DYSURIA): Maradhi haya hutokea kwa kupatikana vijiwe kwenye kibofu cha mkojo. Vijiwe hivi huzuia mkojo kutoka vizuri na kufa yatoke matone matone.


SABABU: (1) Kula nafaka mbichi kwa mfano: mchele, mahindi, njugu karanga, n.k. (2) Vyakula vilivyoisha muda wake wa matumizi au vyakula vyenye viwango vya chini ambavyo havistahiki kuliwa na binadamu. (3) Vyakula vigumu ambavyo tumbo haliwezi kusaga vizuri na hata likisaga, litasaga kwa mashaka kwa mfano chakula ambacho hakijaiva vizuri au nyama ngumu. (4) Kutotafuna chakula vizuri kwa sababu ndani ya tumbo hamna meno, kwa hivyo utalipa tumbo kazi ya ziada.
Aende hospitali kupima ili tupate kujuwa anaumw ana amradhi gani? na Awe anakunywa maji ya Uvuguvugu kwa wingi na maji ya madafu na maji ya miwa na maji ya tikiti maji. Akienda Hospitali asipo pona nitafute mimi nipate kumtibia.Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Back
Top Bottom