Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Wadau habarini za usiku.
Muda mchache tu uliopita nimetoka kwa swaiba wangu nyumbani kwake ambapo alinita nikajaribu kusulihisha kadhia iliyokua imetokea baina yake na mkewe.
Kadhia niliyoitiwa ni mke wa swaiba kufumania msg's kadhaa kwenye cm ya husband.
Msg's hizo ambazo baadhi ni za Inbox na baadhi za Sent items.
Hata mie nilipoonyeshwa na shemeji yangu hakika domo lilinijaa mate,
kwani ziko full viashiria swaiba ni cheater.
Alichofanya Shem ni kuzi'fwrd kwenye cm yake mara tu alipozifumania.
Kilichopelekea swaiba anite haraka ni viapizo alivyokua akiviapa mkewe,
na hasa swaiba alinambia neno moja ambalo mkewe alikua akimwambia huku akilirudiarudia ndilo lililo mtisha kupita yote.
Neno "nautaona nitakachokufanya nakwambia hutosahau"
Nilipomuuliza swaiba yeye anadhani ni nini hicho atakachofanyiwa?akanijibu anadhani kua maana yake nae wife wake atam'cheat .
Aidha nami nikajikuta napata dhana hiyohiyo, hata hivyo kwa leo sikuweza fanikiwa kufikia muafaka kupata suluhu kutokana na condition ya shem kua too tamper.
Nimelilaza zoezi hadi kesho, pamoja na hayo nimelazimika nije Jamvi nipate walau mawili ma3 husussan kwa wadada kwamba malipo ya kumlipa Mume/boyfrnd aliyethibitika anacheat ni sawa umlipe kwa wewe kucheate ?
Dawa ya moto ni moto, katika eneo hili inahusu ?
Kama inahusu ukamlipa kiivyo je? Ukajafumania tena anacheat na wanawake wawili ziada na wewe mwanamke utaongeza idadi pia ya ku'cheat ?
Ipi njia sahihi ?
Naomba kutoa hoja
Muda mchache tu uliopita nimetoka kwa swaiba wangu nyumbani kwake ambapo alinita nikajaribu kusulihisha kadhia iliyokua imetokea baina yake na mkewe.
Kadhia niliyoitiwa ni mke wa swaiba kufumania msg's kadhaa kwenye cm ya husband.
Msg's hizo ambazo baadhi ni za Inbox na baadhi za Sent items.
Hata mie nilipoonyeshwa na shemeji yangu hakika domo lilinijaa mate,
kwani ziko full viashiria swaiba ni cheater.
Alichofanya Shem ni kuzi'fwrd kwenye cm yake mara tu alipozifumania.
Kilichopelekea swaiba anite haraka ni viapizo alivyokua akiviapa mkewe,
na hasa swaiba alinambia neno moja ambalo mkewe alikua akimwambia huku akilirudiarudia ndilo lililo mtisha kupita yote.
Neno "nautaona nitakachokufanya nakwambia hutosahau"
Nilipomuuliza swaiba yeye anadhani ni nini hicho atakachofanyiwa?akanijibu anadhani kua maana yake nae wife wake atam'cheat .
Aidha nami nikajikuta napata dhana hiyohiyo, hata hivyo kwa leo sikuweza fanikiwa kufikia muafaka kupata suluhu kutokana na condition ya shem kua too tamper.
Nimelilaza zoezi hadi kesho, pamoja na hayo nimelazimika nije Jamvi nipate walau mawili ma3 husussan kwa wadada kwamba malipo ya kumlipa Mume/boyfrnd aliyethibitika anacheat ni sawa umlipe kwa wewe kucheate ?
Dawa ya moto ni moto, katika eneo hili inahusu ?
Kama inahusu ukamlipa kiivyo je? Ukajafumania tena anacheat na wanawake wawili ziada na wewe mwanamke utaongeza idadi pia ya ku'cheat ?
Ipi njia sahihi ?
Naomba kutoa hoja