Dawa ya mende ni nini?

MissM4C

JF-Expert Member
Aug 31, 2012
1,738
995
Nyumbani KWANGU kila pahala ni mende, zimejaaa kwenye mafriji, kabati, na etc Ila usafi ni maximum,Why? Na nifanyeje?
 
Fanya fumigation, tafuta watu wa fumigation wapulize midawa yao huko ndani na nje ya nyumba yako.

Kwa kuanza Fanya mwenyewe,chukua chupa kama 3 hivi za rungu then puliza ndani mwote half funga Milango.

Sikilizia matokeo yake
 
Kama ni mwanamke tafuta manii kutoka kwa mwanaumwe yoyote wa jirani yako halafu chemsha maji changanyia na manii poja na maji ya limao....mwagia kote ambako unaona ni maficho ya mende...ndani ya siku moja tu....kila kitu kwsiha
 
kipindi chetu Mende walikua dili sana mpaka chooni tulikua tunawatafuta mambo ya kudisplay Crop,Dissection iyo.

Inaweza kuwa fursa kama kuna wanafunzi wanasoma logos kama panya wanauzwa kwann Mende?

All in all Rungu is the Best kwa Wadudu warukao na watambao tafuta iyo kitu pulizia.

Halafu kuna dawa flani kama chaki unachora chini ya sakafu Mende akikatiza tu ndo mwisho wa half life yake,Jina sijui ila madukani ipo
 
Dadangu isije ikawa ndio bahati imeangukia kwako kwani mende wana soko kubwa hapa nyumbani na kimataifa, waone taasisi iitwayo kijani kibichi wataku elimisha kuhusu mradi huo (kama utapenda)
 
Dawa ya kudumu kwa mende wale wadogo ni mijusi ile yenye rangi. Hawamalizi mwezi watapungua sana....
Biological control hiyo, Getto kwangu kulikuwa na mjusi na hiyu ndio ilikuwa kazi yake, mende wameisha nae kasepa.
 
Back
Top Bottom