Dawa ya mchepuko ni kuichafua tu!

Black jew

Senior Member
Sep 4, 2017
121
222
Leo narudi kibaruani ile nafika nikaingia ndani, mke wangu kanikaribisha kanipokea maliboro. Baada ya dakika kumi nasikia paaaa mara tena paaaa! Ikabidi nitoke nje namuona mpangaji mwenzangu anatoka kichapo kwa mdada full tandam imetitia utadhani imebeba kabeji.

Yanu inachezee vitasa huku jamaa analalama nani kakwambiaa unifwate nyumbani kwangu, kofi teke, kifuti ili mradi adhabu imfikie.

Mchepuko ukasema huku unagugumia kilio sasa kama ulikuwa hupokei simu yangu mi nifanyeje mi unanionea si ulisema tukutane nyumbani leo mkeo hatokuwepo basi mi na jamaa mwingine tukawaamua huh tukimsihi yule dada ondoka, basi akaondoka kwa unyonge.

Huku nyuma kila mmoja akaendelea na mishe zake mi nikampiga tu mke wake biti nisikie umesema kwa mkewe nitakukata kichwa.

Ila nimejifunza dawa ni kufanya juu ili mradi ukojoe mana ukijifanya fundi mwisho wake ndo huo inakuja mpaka nyumbani.
 
Inashangaza sana mwanaume kusimulia mambo ya kike tena kwa confidence kama yako....

Nimependa ulivinikosoa inaonesha ni jinsi gan thread imekugusa na ukaisoma mpaka mwisho na ukagundua kuwa aliesimulia ni mwanamme.
Ila jifunze ili kuna mwingine akiisoma atajifunza kitu.ELIMIKA. please acha kupanik haya ndo maisha na siku ndo ishapita hii. Tehh teh
 
Nimependa ulivinikosoa inaonesha ni jinsi gan thread imekugusa na ukaisoma mpaka mwisho na ukagundua kuwa aliesimulia ni mwanamme.
Ila jifunze ili kuna mwingine akiisoma atajifunza kitu.ELIMIKA. please acha kupanik haya ndo maisha na siku ndo ishapita hii. Tehh teh
Ninamashaka na jinsia yako aiseeee.....
Bilashaka unavinasaba vya jinsia ya kike aiseeeee.......

Ebu ngoja nikupuuze, maana inawezekana nikawa ninabishana na punga
 
Back
Top Bottom