Dawa ya Mbu inahitaji

Mbao za Mawe

JF-Expert Member
May 11, 2015
23,373
54,754
Kama kichwa cha habari kijielezavyo naombeni msaada wa dawa ya mbu kuna mtaa nimeingia kama wiki mbili zilizopita hapa Tanga yaani natamani kutoa damu kwa hiari niwape kuliko hiki nachofanyiwa na hawa wadudu.

Nipo nje natafakari namna ya kulala, Msaada tafadhali.

NB: Chandarua hakuna
 
Kuna dawa unachomeka kwnye socket inakaa masaa 400 na zaid ....4500 tu.. Mbu hasogei ndani itafute ama nunua ile ya kuchoma y vipakti nayo nzur san mbu,mende n.k wote wanakufa
 
Kama kichwa cha habari kijielezavyo naombeni msaada wa dawa ya mbu kuna mtaa nimeingia kama wiki mbili zilizopita hapa Tanga yaani natamani kutoa damu kwa hiari niwape kuliko hiki nachofanyiwa na hawa wadudu.

Nipo nje natafakari namna ya kulala, Msaada tafadhali.

NB: Chandarua hakuna
Tatizo lako unalala peke yako ndo maana unasikia mbu, najaribu kuimajini kama ungekuwa na shemeji ungetuletea uzi matata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom