paul milya
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 285
- 93
MziziMkavu,, lane hebu kujeni kwa huku membe wenzetu wanataabika please!
Last edited by a moderator:
weka picha ya Movit tafadhali......mimi mwenyewe nikisuka braids napata mba sana..............
View attachment 117852
cc tpaul Amavubi
Hayo mimi yamenisaidia sana kwani mara ya kwanza kugundua nina mba ilikuwa 1999 wamenisumbua hadi mwaka baada ya kubadilisha mafuta ya kupaka kichwani na kuanza kupaka MOVT.
Hilo kopo dogo huwa nanunua tsh1000 tu. Sasa hata nina amani kabla ya hapo nilkuwa naona aibu kwenda saloon kunyoa.
Shukrani zangu zimwendee dada mmoja mmiliki wa saloon ya kiume dar, ndio alienishauri hayo mafut
Tafuta mafuta ya sulphur mkuu,yanatibu mba..
yapo kwenye kopo la njano nadhani yatakusaidia.
uongo mtupu.nimepaka hayo masulpher hadi nikawa nanuka njia nzima lakini holaa
hahaaaa mkuu jaribu hayo movt... binafsi baada ya kuanza kutumia sina tena MBA
mkuu hilo tatizo nami limenisumbua tangu utoto lakini ghafla mwaka huu nimepona tafuta mafuta ya kupaka kichwani yanaitwa MOVT mimi ndio yamemaliza tatizo langu.
Pole sana ndugu yangu tumia diproson jipake kichwa kizima muda wa wiki tatu utanijulisha