Nkungulume
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,988
- 1,208
Hii niliwahi kuisikiaga zamani.Nyoa nywele zote kisha paka Brakeoil mara tatu kwa siku kwa muda wa siku saba .
Hii niliwahi kuisikiaga zamani.Nyoa nywele zote kisha paka Brakeoil mara tatu kwa siku kwa muda wa siku saba .
hiyo ni dawa bora kabisa inatibu bila wasiwasiHii niliwahi kuisikiaga zamaniiiiii
Mafuta yapo ya aina nyingi, tafuta mafuta yenye ingredient zinazofit nywele zako, ila kama ishu ni kutokupenda mafuta, jitahidi usiwe na nywele ndefu na uwe unazitana kila utokapo kuoga.Kwa hiyo tiba ni kupaka mafuta kichwani? Sisi tulio na aleji na mafuta ya nywele vipara vinatuhusu
Pole sana mkuu. Hili tatizo hata mm limenisumbua kwa muda mrefu sana pamoja na kupaka kila aina ya mafuta yakiwamo hayo ya MOVIT. Mafuta ya movit sio kwa ajili ya tiba bali ni kwa ajili ya kinga na urembo kwa akina mama (yame-contain a little amount of sulphur ambayo haiwezi kutibu mba). Ukiona mtu amepaka haya mafuta amepona, basi huyo hakuwa na mba ila harara tu.
Wakuu, dawa za ukweli za mba ni hizo nilizoweka hapo juu: Terbifin na Beprosalic ointment. Baada ya kusumbuka kwa miaka mingi, dawa hizo zilinipa suluhisho.tpaul tupe mrejesho.. ni kweli umepona?? hiyo hali haijarejea tena maana kuna dawa nyingine unapaka zinasaidia ndan ya miezi miwili afu mziki unaanza tena