Mba kichwani (Dandruff): Fahamu Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Mafuta ya sulphur 8 yanatibu kabisa
yanapatikana wapi mkuu? unaweza ukatupa picha yake? kuna mafuta ya sulphur yapo kwenye lichupa fulani hivi nilipaka hadi yakadunda. ukiyapaka mafuta yale kisha ukaoga kichwa unahisi kinakuwa kikavuuu...si ndio hayo mkuu?
 
Kikopo chake ni kidogo sana na nilitumia zaman sana yakanitibu,sh 6000 bei yake na ni maduka ya madawa na vipodozi,mimi yalinisaidia sujui wengine..
 
Mm nasumbuliwa na huo ugonjwa pia, matibabu yangu ni mafuta ya nazi tu, kila nikitoka kuoga najikandika kichwani shughuli imeisha..
 
Feedback dawa ya mba kwa limau
Ni week sasa naona kichwani pametulia, asanteni
Cc. MziziMkavu
 
yanapatikana wapi mkuu? unaweza ukatupa picha yake? kuna mafuta ya sulphur yapo kwenye lichupa fulani hivi nilipaka hadi yakadunda. ukiyapaka mafuta yale kisha ukaoga kichwa unahisi kinakuwa kikavuuu...si ndio hayo mkuu?
Brother tatizo bongo hatuna dawa. Kuna shampoo iliyosaidia watu wengi duniani inaitwa Nizoral a-d. Ni nzuri Sana ILA Tanzania haipatikani
 
Mba ni maeneo yenye mabaka yanayoletwa na fangasi ,ambao hushambulia ngozi, hivyo ngozi hubadilika rangi yake na kuwa na rangi hafifu au inayoonekana zaidi (kama ni mtu mwenye rangi ya maji ya kunde basi ngozi iliyoathiriwa hubadilika na kuwa nyeupe au nyeusi sana.

Kuna Natura clay, watu wengi imewaponya. Kwa kuwa wengi mshatumia gharama kujitibu, mi ntawapa nusu dozi BURE, ukiona progress utakuja malizia dozi na kulipia.
 
Nakushauri unyoe nywele zako kwa wembe(zungu) bila kujikata na ujipake maji ya betri SULPHURIC ACID,(kiasi kidogo, tumia kidole na kifuniko cha plastik kuhifadadhia) ambayo hayajatumika na usugue kidogo, subiri baada ya dk 3 na uoshe kwa sabuni ya shampoo pekee. utawashwa lakin vumilia! LINDA MACHO, PUA, MDOMO NA MASIKIO YASIGUSWE NA ACID.
Hii lazima niifanye
 
Nyoa nywele zote kisha hakikisha unakoga kutwa mara 3 na ukifika chooni tafuta Dawa ya mswaki aina ya Colgate unatia ktk kidole unajipaka unauacha km dkk 5 hadi 10 utaona mabadiliko!!!
Inshaallah
 
sabuni zote apa tanzania zinatoa mba kutokana na maji yetu TZ

ninachoshauri kuanzia leo anza kutumia shampoo sio zile za kienyeji siziamini

kuna kemakali iko kwenye sabuni dawa za meno ukidondosha kwenye maji madogo kama vile kwenye tailiz bafuni uwa inakausha maji araka sana iyo isipogoka vizuri kwenye nywele bizuri uwa inaunguza ngozi
na inashindikana kutoka kwa chumvi za kwenye maji yetu

ii kemikali haipo kwenye shampoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom