Whitney Houston
JF-Expert Member
- Jan 5, 2019
- 213
- 403
Habari wakuu.
Kwa anaefahamu tiba ya mawe ya tonsezi !tonsil stones! naomba anisaidie.aidha ya kienyeji au ya hospitalini. haziniumi ila ni hayo mawe tu ndo yananisumbua,na kunikera kwasababu yana harufu mbaya.
Huwa yanajirudia mara kwa mara, huwa najaribu kutumia maji ya chumvi, hydrogen peroxide, dawa ya meno ya kawaida kujisafisha mara kwa mara lakini havisaidii.
Kwa anaefahamu tiba ya mawe ya tonsezi !tonsil stones! naomba anisaidie.aidha ya kienyeji au ya hospitalini. haziniumi ila ni hayo mawe tu ndo yananisumbua,na kunikera kwasababu yana harufu mbaya.
Huwa yanajirudia mara kwa mara, huwa najaribu kutumia maji ya chumvi, hydrogen peroxide, dawa ya meno ya kawaida kujisafisha mara kwa mara lakini havisaidii.