Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,016
- 2,592
Habari za jioni wapendwa nasumbuliwa na mapele kichwani na kwenye ndevu,hivyo nilikuwa naulizia kama kuna mtu mwenye ufahamu wa dawa nzuri ambayo inaweza saidia.
Za saloonHuwa unatumia mashine gani kunyolea?
CastroKanunue mafuta ya Castro oil tumia utanikumbuka kwa ushauri wangu huu.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Tena Kama ataweza atafute Yale ambayo hayaja chakachuliwa.... Yaan hayajapita kiwandani aende maduka ya dawa za asiliKanunue mafuta ya Castro oil tumia utanikumbuka kwa ushauri wangu huu.
Ndukiiiii
Unayatumia vipi nielekezeni wakuuTena Kama ataweza atafute Yale ambayo hayaja chakachuliwa.... Yaan hayajapita kiwandani aende maduka ya dawa za asili
Habari za jioni wapendwa nasumbuliwa na mapele kichwani na kwenye ndevu,hivyo nilikuwa naulizia kama kuna mtu mwenye ufahamu wa dawa nzuri ambayo inaweza saidia.
Unapaka infected area..... Jikaze tuu yanakua na kaharufu flani iviii ila ukishayazoea Ni mazuriiUnayatumia vipi nielekezeni wakuu
Habari za jioni wapendwa nasumbuliwa na mapele kichwani na kwenye ndevu,hivyo nilikuwa naulizia kama kuna mtu mwenye ufahamu wa dawa nzuri ambayo inaweza saidia.