mjusilizard
JF-Expert Member
- Nov 7, 2019
- 923
- 1,586
sALAAM,
Ukiangalia miongoni mwa njia za kujikinga dhidi ya corona virus ipo njia ya kusimama mita moja ili kuongea (Maana Inatakiwa kila mmoja ajione ameshaambukizwa).
Kwa msingi huo: Tunaweza kusema -
*Wamama wasinyonyeshe wala kuwaogesha tena watoto wao.
*Hakuna kuchangia damu tena.
*Ndoa zitavunjika maana tutakutanaje tukiwa mbali mita moja?? (Au kwa Bluetooth 😂)
*Ibada ndo kabisa hazitafanyika sasa.
Inafikirisha sana.
Ila bado naamini sana katika kufuata kanuni za kuimarisha kinga ya mwili.
Nashauri watu tuongeze matumizi ya vitamin C.
Ukiangalia miongoni mwa njia za kujikinga dhidi ya corona virus ipo njia ya kusimama mita moja ili kuongea (Maana Inatakiwa kila mmoja ajione ameshaambukizwa).
Kwa msingi huo: Tunaweza kusema -
*Wamama wasinyonyeshe wala kuwaogesha tena watoto wao.
*Hakuna kuchangia damu tena.
*Ndoa zitavunjika maana tutakutanaje tukiwa mbali mita moja?? (Au kwa Bluetooth 😂)
*Ibada ndo kabisa hazitafanyika sasa.
Inafikirisha sana.
Ila bado naamini sana katika kufuata kanuni za kuimarisha kinga ya mwili.
Nashauri watu tuongeze matumizi ya vitamin C.