DAWA YA KUWA NA KIPARA NA KUFANYA NDEVU ZICHELEWE KUOTA

GASPER ZUBEIR

Member
Jun 2, 2017
14
15
Habari sana wana jamii : nilikuwa naitaji msaada Wa kujuzwa kama inawezeka ikawepo dawa ya KUWA na kipara moja moja bila kunyoa naitaji kuwa na kipara cha bila kunyoa yani kiwe forever

Hiyo hiyo na ndevu zangu nikinyoa Leo kesho nakuta zimesha ota kibao alafu zinakuwa ndevu ngumu na kuwasha naitaji dawa ya kuondoa ndevu kabisa au kuzifanya zichelewe kuota mapema naitaji msaada jaman
 
Dawa ya kuzuia kuota sijawahi sikia labda kwa kutumia mionzi maalumu ambayo itasaidia kukuaa kwa muda bila ndevu kuota ngoja wataalamu waje
 
Nawiaa kwa kutumia mkojo wako kila ktk wiki mara4

Ova
 
Kwa taarifa yako tuu mwenye vipara ni deal huko Msumbiji.....wana uliwa kwa sababu za kishirikina na soko lao kubwa ni Tanzania na Burundi.
 
Kipara simpld sana


Use unajipaka mavi yako kila siku asubuhi na jioni
 
Wanasema ukinywa shahawa yako kwa wiki mara mbili na kujipaka mkojo kichwani na usoni kabla ya kulala kwa mwezi hivi,,,,hutopata kuota nywele. Jaribu kisha uje utupe update zako.
 
Watu sasa hivi wanawindwa wenye vipara huko msumbiji wawili wamekatwa vichwa.,, Wanadai vina dhahabu ndani...!! Kaa chonjo wew mpenda vipara...!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom