Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,131
- 16,195
Hata vinegar pia inasafisha
Ingia YouTube jifunze kwa vitendo...Nashukuru kwa michango yenu wadau sasa naomba kuuliza io panado naishikaje na wakat pas ni ya moto nisije nikateleza nikaweka vidole nikapata kovu la pas saiz
Angalau ww kidogo nimekuelewa chaki ni ndefu ila panado mmmhMkuu tumia chaki hutojuta, washa ikishika moto vizuri sugua kwa chaki
Maybe lets agree to disagreeYou are generosity.
Umetumia research gani kusema sote?
Panadol,Cetamol, Paracetamol, asprin ni laini zinapokutana na uchafu wakati unasugua kwa pasi zinanata na ule uchafu haziutoi...napasi daily hicho kitu nime observe.
Lakini steel wool ni tofauti ni chuma unapokwangua pasi(chuma) inafanya vilevile kama unavyokwangua sufuria kuondoa ukoko/mabaki ya msosi.
Ushauri wa madobi wengi njia ya uhakika ya kutoa uchafu ktk pasi ni steel wool na hawakosi steel wool kwa meza ya kupasi.
Uwe unajiongeza hata kidogo boss. Hiyo panadol inashikwa na karatasi au tissues paper.Angalau ww kidogo nimekuelewa chaki ni ndefu ila panado mmmh
Nilishaisafisha mdau nashukurun snUwe unajiongeza hata kidogo boss. Hiyo panadol inashikwa na karatasi au tissues paper.
Nashukuru kwa michango yenu wadau sasa naomba kuuliza io panado naishikaje na wakat pas ni ya moto nisije nikateleza nikaweka vidole nikapata kovu la pas saiz
Kweli? Nitajaribu, je chumvi ya unga au ya mawe?Tumia chumvi, hii ya kuweka kwenye mboga. Zamani nilikuwa nahangaika sana kutumia panadol.
Pasha pasi mpaka iwe moto kisha weka chumvi, kisha sugua kwa karatasi yoyote
Kweli? Nitajaribu, je chumvi ya unga au ya mawe?
Asprin atakohoa sana jamani, panadol ndio nafuuTumia asprin.. Ikishayeyuka, ule uchafu usugue kwa steel wool huku ukiishika kutumia kitambaa chenye maji maji!
Tumia choki, usugue uchafu huo kwa choki ukiwa tayari umeyeyuka kutokana na jotoHabari za Jumatatu WanaJamiiForums hope mpo poa
Sasa basi nisiwachoshe kuna pasi yangu hapa nyumbani naona inataka kuniharibia nguo zangu ina uchafu mweusi kwa chini ni mgumu sana kutoka umeshaniunguzia nguo zangu mara kadhaa.
Nimejaribu kununua panadol nisigue uchafu nilitumia nguvu nying lakini uchafu uliotoka ni kidogo mno nimejaribu kuchukua kisu kuutoa lakini wapi ni mgumu mno naombeni mnipe mbinu za kisasa za kuutoa uchafu huu.
Nawasilisha.
Tumia paracetamol mashin ya kaz io isipotoa huo uchafu njoo nikurudshie ila yakHabari za Jumatatu WanaJamiiForums hope mpo poa.
Sasa basi nisiwachoshe kuna pasi yangu hapa nyumbani naona inataka kuniharibia nguo zangu ina uchafu mweusi kwa chini ni mgumu sana kutoka umeshaniunguzia nguo zangu mara kadhaa.
Nimejaribu kununua panadol nisigue uchafu nilitumia nguvu nying lakini uchafu uliotoka ni kidogo mno nimejaribu kuchukua kisu kuutoa lakini wapi ni mgumu mno naombeni mnipe mbinu za kisasa za kuutoa uchafu huu.
Nawasilisha.