Dawa ya kutoa uchafu kwenye pasi

Nashukuru kwa michango yenu wadau sasa naomba kuuliza io panado naishikaje na wakat pas ni ya moto nisije nikateleza nikaweka vidole nikapata kovu la pas saiz
 
You are generosity.
Umetumia research gani kusema sote?

Panadol,Cetamol, Paracetamol, asprin ni laini zinapokutana na uchafu wakati unasugua kwa pasi zinanata na ule uchafu haziutoi...napasi daily hicho kitu nime observe.
Lakini steel wool ni tofauti ni chuma unapokwangua pasi(chuma) inafanya vilevile kama unavyokwangua sufuria kuondoa ukoko/mabaki ya msosi.

Ushauri wa madobi wengi njia ya uhakika ya kutoa uchafu ktk pasi ni steel wool na hawakosi steel wool kwa meza ya kupasi.
Maybe lets agree to disagree

Mana nasafisha na panadol na hakibaki kitu.
 
Tupa hiyo pasi. Nenda kanunue pasi mpya pale Mcity 120,000 tu unapata steam. Achana kutumia panadol sijui diclofenac n.k
 
Tumia chumvi, hii ya kuweka kwenye mboga. Zamani nilikuwa nahangaika sana kutumia panadol.
Pasha pasi mpaka iwe moto kisha weka chumvi, kisha sugua kwa karatasi yoyote
Nashukuru kwa michango yenu wadau sasa naomba kuuliza io panado naishikaje na wakat pas ni ya moto nisije nikateleza nikaweka vidole nikapata kovu la pas saiz
 
Habari za Jumatatu WanaJamiiForums hope mpo poa

Sasa basi nisiwachoshe kuna pasi yangu hapa nyumbani naona inataka kuniharibia nguo zangu ina uchafu mweusi kwa chini ni mgumu sana kutoka umeshaniunguzia nguo zangu mara kadhaa.

Nimejaribu kununua panadol nisigue uchafu nilitumia nguvu nying lakini uchafu uliotoka ni kidogo mno nimejaribu kuchukua kisu kuutoa lakini wapi ni mgumu mno naombeni mnipe mbinu za kisasa za kuutoa uchafu huu.

Nawasilisha.
Tumia choki, usugue uchafu huo kwa choki ukiwa tayari umeyeyuka kutokana na joto
 
Mnaangaika sana na yote hayo aisee... Mimi uwa nachukua plain paper naiviringa kisha huku nikiwa nimeongeza moto wa pasi to the maximum, ninasugua tu. Fasta tu uchafu wote kushney
 
Habari za Jumatatu WanaJamiiForums hope mpo poa.

Sasa basi nisiwachoshe kuna pasi yangu hapa nyumbani naona inataka kuniharibia nguo zangu ina uchafu mweusi kwa chini ni mgumu sana kutoka umeshaniunguzia nguo zangu mara kadhaa.

Nimejaribu kununua panadol nisigue uchafu nilitumia nguvu nying lakini uchafu uliotoka ni kidogo mno nimejaribu kuchukua kisu kuutoa lakini wapi ni mgumu mno naombeni mnipe mbinu za kisasa za kuutoa uchafu huu.

Nawasilisha.

Tumia paracetamol mashin ya kaz io isipotoa huo uchafu njoo nikurudshie ila yak
 
Back
Top Bottom