Habari za Jumatatu WanaJamiiForums hope mpo poa.
Sasa basi nisiwachoshe kuna pasi yangu hapa nyumbani naona inataka kuniharibia nguo zangu ina uchafu mweusi kwa chini ni mgumu sana kutoka umeshaniunguzia nguo zangu mara kadhaa.
Nimejaribu kununua panadol nisigue uchafu nilitumia nguvu nying lakini uchafu uliotoka ni kidogo mno nimejaribu kuchukua kisu kuutoa lakini wapi ni mgumu mno naombeni mnipe mbinu za kisasa za kuutoa uchafu huu.
Nawasilisha.
Sasa basi nisiwachoshe kuna pasi yangu hapa nyumbani naona inataka kuniharibia nguo zangu ina uchafu mweusi kwa chini ni mgumu sana kutoka umeshaniunguzia nguo zangu mara kadhaa.
Nimejaribu kununua panadol nisigue uchafu nilitumia nguvu nying lakini uchafu uliotoka ni kidogo mno nimejaribu kuchukua kisu kuutoa lakini wapi ni mgumu mno naombeni mnipe mbinu za kisasa za kuutoa uchafu huu.
Nawasilisha.