Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,101
Salaam wakuu,
Hivi kuna dawa yoyote ya kusafisha tumbo/ kusababisha kuharisha?
Jirani yangu ameniomba nimshauri lakini nikatoka kapa, anadai anapata choo kwa taabu sana, nimemshauri anywe magnesium ila sina hakika kama zinasaidia. Masaada tafadhali.
Nia anataka dawa itakayomsaidia kuharisha sana.
Hivi kuna dawa yoyote ya kusafisha tumbo/ kusababisha kuharisha?
Jirani yangu ameniomba nimshauri lakini nikatoka kapa, anadai anapata choo kwa taabu sana, nimemshauri anywe magnesium ila sina hakika kama zinasaidia. Masaada tafadhali.
Nia anataka dawa itakayomsaidia kuharisha sana.